Maswa wakataa viongozi wao
WANANCHI WA wa Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemkataa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo na Mwenyekiti wa Halmashauri, Stephen Dwese kwa madai ya kukwamisha maendeleo. Tukio hilo lilitokea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Stars wakataa hoteli ya wenyeji wao Malawi
10 years ago
Habarileo05 Apr
Viongozi watakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao
VIONGOZI wa Serikali wametakiwa kusikiliza malalamiko ya wananchi wao na sio kuyapuuza kwani wanapofanya hivyo ndio chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.
9 years ago
StarTV19 Sep
 NCCR — Mageuzi wahofia viongozi wao kudhuriwa
Chama cha NCCR-Mageuzi kimedai kugundua mbinu chafu zinazopangwa na kikundi kinachotajwa kutaka kuwadhuru viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, hususan Mwenyekitu wa chama hicho, James Mbatia.
Aidha, chama hicho kimesema hakitajiengua kwenye Umoja huo kama inavyoelezwa na baadhi ya wanachama wake kwa madai ya Umoja kushindwa kufikia baadhi ya makubaliano, hususan ya mgao wa majimbo. Walipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, NCCR- Mageuzi...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Wananchi EAC wanaipenda jumuiya kuliko viongozi wao
10 years ago
VijimamboCCM NEW YORK YAFANYA UCHAGUZI NA KUPATA VIONGOZI WAO WA TAWI
5 years ago
MichuziSACCOS 90 KANDA YA KATI ZAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WAO
Viongozi wa SACCOS Kanda ya Kati wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini.
Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Ismail Luhamba, Singida
ZAIDI ya SACCOS 90 za Mikoa ya Kanda ya Kati zimepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa viongozi wa SACCOS yatakayosaidia kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa leseni za vyama vyao.
Mafunzo hayo yanayofanyika nchi nzima yametolewa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Viongozi wa dini washahuriwa kuwapa muda waumini wao kuielewa Katiba Pendekezwa
![DSC04728](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC04728.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s72-c/MMGM4299.jpg)
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s1600/MMGM4299.jpg)
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...