Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFANYABIASHARA APIGWA...

Na Waandishi Wetu/Uwazi
MFANYABIASHARA wa Kisesa wilayani Magu, Mwanza, Nestory Andrew ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi usiku wa Februari 16, mwaka huu huku mke wake akishuhudia. Mke wa mfanyabiashara huyo (kulia) akiwa na simanzi kubwa. Imedaiwa kuwa kabla ya majambazi hao hawajafanya mauaji hayo, waliuteka Mtaa wa Kisesa kwani jirani na duka la mfanyabiashara huyo kulikuwa  na mafundi baiskeli ambao walizuiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara apigwa risasi ugomvi wa fedha

MFANYABIASHARA wa madini ya tanzanite yaliyopo Mirerani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Daud Madaha amepigwa risasi kifuani na yuko mahututi katika hospitali ya rufaa ya Selian Jijini Arusha.

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua

MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya dhahabu amejiua kwa kujipiga risasi kichwani. Amefanya hivyo wakati akiwakimbia wananchi wenye hasira na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya Kalole Kata ya Bugarama wilaya ya Kahama, baada ya kumjeruhi mguuni kwa kumpiga risasi mchimbaji mdogo wa machimbo hayo.

 

9 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara achinjwa Maswa

MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara adaiwa kubaka

MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara atahadharisha Polisi

JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuacha kuvifananisha vikundi vya uhalifu na makundi ya kigaidi kama vile Al Sbabab, El Quaeda na Boko Haram, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuvuruga uchumi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara auawa Moshi

KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha, wamevamia duka la jumla la kuuza bia na bidhaa mbalimbali na kisha kumuua kwa kumpiga risasi mmiliki wa duka hilo, Respiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara Dar ajinyonga

MFANYABIASHARA, Bakari Yohana (34), mkazi wa Manzese, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia waya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema jana kuwa tukio...

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara adaiwa kutapeli

MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfanyabiashara afa ‘gesti’

Mfanyabiashara maarufu jijini Arusha, Olais Metili mkazi wa Uzunguni jijini hapa, amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni ya Hoteli Diamond Motel iliyopo eneo la Sakina jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani