Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanasiasa mashuhuri afariki,Tanzania

Mwanasiasa mashuhuri na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic Party (DP) nchini Tanzania , Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MWANASHERIA NA MWANASIASA MKONGWE DKT. MASUMBUKO LAMWAI AFARIKI DUNIA

   Mwanasheria na mwanasiasa mkongwe Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia majira ya saa sita usikuwa kuamkia leo. Dkt Masumbuko aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo , pia aliwahi kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais.

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tanzania: Mwanasiasa wa upinzani Freeman Mbowe avamiwa na kushambuliwa

Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Freeman Mbowe amevamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijini Dodoma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi mashuhuri waishtumu Urusi

Zaidi ya waandishi 200 mashuhuri wa vitabu kutoka mataifa 30 wameishtumu Urusi kwa kukandamiza Uhuru wa kujieleza..

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu mashuhuri walaani udukuzi

Wiki jana taarifa za watu mashuhuri zilifichuliwa kupitia akauti zao za iCloud huku picha za kibinafsi kuchapishwa

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mimi si mwanasiasa — Nkya

MTETEZI wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya, amesema yeye si mwanachama wa chama chochote cha siasa bali amekuwa akizungumza ukweli kuhusiana na Taifa. Hatua hiyo imetokana na watu wengi kumhusisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaapa kuwashika waliomuua wakili mashuhuri

Wakili Tahir Elci alipigwa risasi jana katika mji wa Kusini Mashariki wa Diyarbakir.

 

5 years ago

Raia Mwema

Mganga mashuhuri duniani afanya maajabu Uingereza

TAKRIBANI mwezi sasa umepita nchi ya Uingereza ilimpokea mganga mwenye miujiza ya ajabu na kutata

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri mashuhuri Kenya Anne Waiguru ajiuzulu

Waziri mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya Rais Uhuru Kenyatta amejiuzulu wadhifa wake baada ya shinikizo kutolewa ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani