Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi mashuhuri waishtumu Urusi

Zaidi ya waandishi 200 mashuhuri wa vitabu kutoka mataifa 30 wameishtumu Urusi kwa kukandamiza Uhuru wa kujieleza..

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya Magharibi waishtumu Urusi

Mataifa ya Magharibi yameshtumu kuingia kwa msafara wa malori ya misaada katika eneo linalodhibitiwa na waasi huko Ukraine.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa mashuhuri afariki,Tanzania

Mwanasiasa mashuhuri na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic Party (DP) nchini Tanzania , Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu mashuhuri walaani udukuzi

Wiki jana taarifa za watu mashuhuri zilifichuliwa kupitia akauti zao za iCloud huku picha za kibinafsi kuchapishwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaapa kuwashika waliomuua wakili mashuhuri

Wakili Tahir Elci alipigwa risasi jana katika mji wa Kusini Mashariki wa Diyarbakir.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri mashuhuri Kenya Anne Waiguru ajiuzulu

Waziri mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya Rais Uhuru Kenyatta amejiuzulu wadhifa wake baada ya shinikizo kutolewa ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi.

 

5 years ago

Raia Mwema

Mganga mashuhuri duniani afanya maajabu Uingereza

TAKRIBANI mwezi sasa umepita nchi ya Uingereza ilimpokea mganga mwenye miujiza ya ajabu na kutata

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Makanisa mashuhuri nchini Nigeria yakosa waumini

Waumini wamepigwa marufuku ya kukusanyika na sasa wahubiri hawana namna zaidi ya kutii sheria hiyo

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri

“Msanii mdogo kutoka ni kazi sana hatukubaliki kirahisi, inahitaji nguvu ya ziada na fedha kama huna fedha ndiyo kabisa hutasomeka kwenye vyombo vya habari”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani