Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mataifa ya Magharibi waishtumu Urusi

Mataifa ya Magharibi yameshtumu kuingia kwa msafara wa malori ya misaada katika eneo linalodhibitiwa na waasi huko Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi mashuhuri waishtumu Urusi

Zaidi ya waandishi 200 mashuhuri wa vitabu kutoka mataifa 30 wameishtumu Urusi kwa kukandamiza Uhuru wa kujieleza..

 

10 years ago

BBCSwahili

Urusi imelalamikia nchi za Magharibi

Msemaji mkuu wa Rais wa Urusi Dmitry Peskov amezituhumu nchi za magharibi kwa kujaribu kuizunguka nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lavrov ashutumu mataifa ya magharibi

Waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi, asema mataifa ya magharibi yanaazimia kuondoa madarakani serikali ya Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran na mataifa ya Magharibi zapatana

Maungumzo kuhusiana na mpango wa Nyuklia wa Iran yamefaulu

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi

Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano Ukingo wa magharibi

Hali ya wasiwasi iliyoikumba Israel na Ukingo wa magharibi imeongezeka baada ya mashambulio kadhaa.

 

10 years ago

Raia Tanzania

AU imeisahau Sahara Magharibi?

MIAKA ya 1970 na hata mwanzoni mwa miaka ya 1980, suala la uhuru wa Sahara Magharibi lilikuwa likijadiliwa kila wakati na hasa katika mikutano ya wakuu wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) wa wakati ule.

Umoja huo uliounda pia chombo cha kusimamia ukombozi wa nchi za Afrika zilizokuwa zikitawaliwa bado, Kamati ya Ukombozi ya OAU, chini ya Brigedia Hashim Mbita, haukusita kuwakemea viongozi wanaotawala mataifa mengine kwa mabavu.

Lakini hali hii kwa sasa imepotea na inavyoonekana,...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nitaibadili Same Magharibi — Mshigati

WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu likiendelea kupanda, watia nia nao wanazidi kushika kasi kutimiza ndoto zao kuelekea katika uchaguzi huo. Miongoni mwao ni Michael Mshigati, mwanasiasa alijitokeza kutangaza nia kuomba kupitishwa na Chama cha Wananchi (CUF) kugombea ubunge katika Jimbo la Same Magharibi.

Mwandishi Wetu CHRISTINA MWAGALA alifanya mahojiano na Mshigati kuhusu dhamira yake hiyo ya kuwa mwakilishi wa wananchi wa Same Magharibi. Endelea…

Raia Tanzania: Nini ulichopanga...

 

11 years ago

Mwananchi

Magharibi wanyimwa taji

Licha ya kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya riadha ya taifa, timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi imenyimwa kombe la ushindi wa jumla kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani