Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran na mataifa ya Magharibi zapatana

Maungumzo kuhusiana na mpango wa Nyuklia wa Iran yamefaulu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya Magharibi waishtumu Urusi

Mataifa ya Magharibi yameshtumu kuingia kwa msafara wa malori ya misaada katika eneo linalodhibitiwa na waasi huko Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lavrov ashutumu mataifa ya magharibi

Waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi, asema mataifa ya magharibi yanaazimia kuondoa madarakani serikali ya Urusi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi

Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa

Hatimaye makubaliano ya kihistoria yametangazwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mataifa 6 makubwa duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mto Nile;Misri Ethiopia na Sudan zapatana

Misri, Ethiopia na Sudan zimetia saini mkataba utakaoainisha matumizi ya maji ya mto Nile.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano Ukingo wa magharibi

Hali ya wasiwasi iliyoikumba Israel na Ukingo wa magharibi imeongezeka baada ya mashambulio kadhaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Magharibi wanyimwa taji

Licha ya kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya riadha ya taifa, timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi imenyimwa kombe la ushindi wa jumla kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Nitaibadili Same Magharibi — Mshigati

WAKATI joto la Uchaguzi Mkuu likiendelea kupanda, watia nia nao wanazidi kushika kasi kutimiza ndoto zao kuelekea katika uchaguzi huo. Miongoni mwao ni Michael Mshigati, mwanasiasa alijitokeza kutangaza nia kuomba kupitishwa na Chama cha Wananchi (CUF) kugombea ubunge katika Jimbo la Same Magharibi.

Mwandishi Wetu CHRISTINA MWAGALA alifanya mahojiano na Mshigati kuhusu dhamira yake hiyo ya kuwa mwakilishi wa wananchi wa Same Magharibi. Endelea…

Raia Tanzania: Nini ulichopanga...

 

10 years ago

Raia Tanzania

AU imeisahau Sahara Magharibi?

MIAKA ya 1970 na hata mwanzoni mwa miaka ya 1980, suala la uhuru wa Sahara Magharibi lilikuwa likijadiliwa kila wakati na hasa katika mikutano ya wakuu wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) wa wakati ule.

Umoja huo uliounda pia chombo cha kusimamia ukombozi wa nchi za Afrika zilizokuwa zikitawaliwa bado, Kamati ya Ukombozi ya OAU, chini ya Brigedia Hashim Mbita, haukusita kuwakemea viongozi wanaotawala mataifa mengine kwa mabavu.

Lakini hali hii kwa sasa imepotea na inavyoonekana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani