Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magharibi wanyimwa taji

Licha ya kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya riadha ya taifa, timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi imenyimwa kombe la ushindi wa jumla kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO

Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza ProductionMiss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha KamaraAeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016

Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]

The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.

Jurgen Klopp amechangia pakubwa katika ushindi wa Liverpool kwenye Ligi ya Primia.

 

11 years ago

Mwananchi

Morogoro wanyimwa kombe netiboli

Washindi wa pili wa Kombe la Taifa la netiboli timu ya Morogoro imewalalamikia waandaaji Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) kwa kuwanyima kikombe na kuwapa pakiti tatu za majani ya chai kama zawadi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana

Kesi dhidi ya wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera,nchini Misri imeahirishwa kwa wiki nyingine moja na washitakiwa kunyimwa dhamana tena

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana

Mahakama nchini Misri imewanyima dhamana kwa mara nyingine wandishi 3 wa habari wa Al Jazeera wanaotuhumiwa kulisaidia kundi la Brotherhood

 

11 years ago

BBCSwahili

Waliokeketwa wanyimwa 'Hisia' Burkina Faso

Hospital ya kwanza kuwahi kujengwa kwa ajili ya kuwasaidia wanawake waathiriwa wa ukeketaji nchini Burkinafasso haitafuuliwa kamwe

 

10 years ago

Habarileo

Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo

Profesa Sospeter Muhongo.WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wajawazito wasiokwenda na wenza kliniki wanyimwa tiba

IDADI kubwa ya wajawazito katika Tarafa ya Mwese, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kutohudhuria kliniki na kujifungulia nyumbani, kwa madai ya kukataliwa kuhudumiwa katika kliniki ya eneo hilo, wanapokwenda bila ya wenza wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani