Magharibi wanyimwa taji
Licha ya kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya riadha ya taifa, timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi imenyimwa kombe la ushindi wa jumla kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Morogoro wanyimwa kombe netiboli
11 years ago
BBCSwahili15 May
Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Waliokeketwa wanyimwa 'Hisia' Burkina Faso
10 years ago
Habarileo06 Jun
Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo
WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.
11 years ago
Habarileo22 Jun
Wajawazito wasiokwenda na wenza kliniki wanyimwa tiba
IDADI kubwa ya wajawazito katika Tarafa ya Mwese, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kutohudhuria kliniki na kujifungulia nyumbani, kwa madai ya kukataliwa kuhudumiwa katika kliniki ya eneo hilo, wanapokwenda bila ya wenza wao.