Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana

Mahakama nchini Misri imewanyima dhamana kwa mara nyingine wandishi 3 wa habari wa Al Jazeera wanaotuhumiwa kulisaidia kundi la Brotherhood

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana

Kesi dhidi ya wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera,nchini Misri imeahirishwa kwa wiki nyingine moja na washitakiwa kunyimwa dhamana tena

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela

Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera miaka 7 jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera kwa kosa la kueneza habari za kupotosha

 

11 years ago

Mwananchi

Magharibi wanyimwa taji

Licha ya kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya riadha ya taifa, timu ya Mkoa wa Mjini Magharibi imenyimwa kombe la ushindi wa jumla kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Morogoro wanyimwa kombe netiboli

Washindi wa pili wa Kombe la Taifa la netiboli timu ya Morogoro imewalalamikia waandaaji Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) kwa kuwanyima kikombe na kuwapa pakiti tatu za majani ya chai kama zawadi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waliokeketwa wanyimwa 'Hisia' Burkina Faso

Hospital ya kwanza kuwahi kujengwa kwa ajili ya kuwasaidia wanawake waathiriwa wa ukeketaji nchini Burkinafasso haitafuuliwa kamwe

 

10 years ago

Habarileo

Watangaza nia CCM wanyimwa mdahalo

Profesa Sospeter Muhongo.WAKATI Watanzania na hasa viongozi wa sekta binafsi, wakijiandaa kupima uwezo na uelewa wa watangaza nia wa CCM, katika masuala muhimu ya kiuchumi kwenye mdahalo ulioandaliwa kesho kutwa, chama hicho kimepiga marufuku watangaza nia hao kushiriki midahalo hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wajawazito wasiokwenda na wenza kliniki wanyimwa tiba

IDADI kubwa ya wajawazito katika Tarafa ya Mwese, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, wanalazimika kutohudhuria kliniki na kujifungulia nyumbani, kwa madai ya kukataliwa kuhudumiwa katika kliniki ya eneo hilo, wanapokwenda bila ya wenza wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandishi 2 mahakamani Somalia

Wandishi wawili wa habari wamefikishwa mahakamani mjini Mogadishu Somalia wakituhumiwa kwa kuhatarisha usalama wa nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani