Wandishi wa Al Jazeera miaka 7 jela
Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera kwa kosa la kueneza habari za kupotosha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Waandishi wa Al Jazeera miaka 3 Jela
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx86YQhMf4Sh1tho4B2Y*mYX05oyVF9cOvDJv6NKeF8tiiaBccQn2WivYRjuDv6BRiTb020MIMEvGhqBxvl-9gaS/waandishi.jpg?width=450)
WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana
11 years ago
BBCSwahili15 May
Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar azungumza na wandishi wa Habari kuhusiana na sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi !!
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 kufikia miaka 52 Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
Na Khadija Khamis – Maelezo
[ZANZIBAR] Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema kuwa Maadhimisho ya Shereha za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yapo kama kawaida na yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 3.12.2016 kwa kazi za usafi wa mazingira katika maeneo mbali mbali ya makaazi...
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ULzpAvZYKo/Xr9xyh6fmzI/AAAAAAALqas/u0RRHpM7JAI5cJQruxeGrFrJ1asON_aBwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25282%2529.jpg)
Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.
Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...