Makamba atangazwa mwanasiasa bora kijana
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Mawasiliano, Januari Makamba ametajwa kuwa mwanasiasa bora kijana na taasisi ya Tanzania Awards International, jijini Dar es Salaam juzi.
Makamba ameshika nafasi hiyo akiwapita wanasiasa wengine vijana ambao ni pamoja na Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Wabunge Vick Kamata,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa
10 years ago
Vijimambo12 Jul
Sentensi 2 Chungu Za Makamba Baada Ya Kutoswa 5 Bora
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/607198746057834496/UCMjCEkL.jpg)
Nawashukuru wote mliotuunga mkono. Mlitupa nguvu. Nawashukuru pia mliotupinga na kutukosoa. Mlitusaidia kujitazama na kujirekebisha.Hatujapoteza uchaguzi kwasababu mimi na vijana niliokuwa tumejifunza mengi na tumejenga undugu. Tumepambana na matakwa ya Mungu yametimia.
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Maisha bora ni yale unayopanga ungali kijana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Oct
Zungu atangazwa Mbunge Ilala
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Ilala kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan Zungu, ametetea kiti chake cha ubunge baada ya kutangazwa mshindi.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mshindi atangazwa kabla ya uchaguzi
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Alpha Conde atangazwa rais wa Guinea
9 years ago
Bongo529 Oct
Dkt John Magufuli atangazwa rais Mteule wa Tanzania
9 years ago
VijimamboWILFRED LWAKATARE (CHADEMA) ATANGAZWA KUWA MBUNGE WA BUKOBA MJINI