Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Che Mponda afariki dunia

Dk Aleck Che-Mponda enzi za uhai wakeMWASISI wa chama cha siasa, Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80) amefariki dunia katika hospitali ya Massana iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani ya mifupa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Dk. Che-Mponda afariki dunia

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MWASISI wa Chama cha Tanzania Peoples (TPP) aliyeandika chapisho la mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi, Dk. Aleck Che-Mponda, amefariki dunia.
Mtoto wa marehemu, Chemi Che-Mponda, alisema jana kwamba baba yake alifariki dunia jana katika Hospitali ya Massana iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Enzi za uhai wake, Dk. Che-Mponda alifanya utafiti kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa mwaka 1971 alipokuwa akisomea shahada ya uzamivu...

 

10 years ago

Mtanzania

Che Mundugwao afariki dunia

Che MundugwaoNA RHOBI CHACHA
ALIYEWAHI kuwa Mjumbe wa Bodi na Katibu Mkuu wa Chama cha Muziki wa Asili nchini, mwanamuzi Chigwele che Mundugwao, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Muhimbili, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Che Mundugwao (48) aliyewahi kutamba na nyimbo mbalimbali za ngoma za asili ikiwemo ya ‘Tumetoka Kwetu Mayenge’, pia alikuwa mtayarishaji wa vipindi vya muziki vya redio.
Rais wa Shiriko la Muziki, Samweli Mbwana (Bratoni),
aliliambia Mtanzania kwamba msanii huyo aliyekuwa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO

Mwanamuziki Mkongwe wa Nyimbo za Asili hapa nchini, Chigwele Che Mundugwao (pichani) amefariki Dunia mapema leo asubuhi kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es salaam.
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu. 
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake,  ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...

 

10 years ago

GPL

TANZIA: CHIGWELE CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki Chigwele Che Mundugwao enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za asili nchini, Chigwele Che Mundugwao amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na matatizo ya damu. Marehemu Chigwele Che Mundugwao amewahi kulipatia taifa sifa kimataifa katika nchi za Scandinavia ambako alijipatia mialiko mbalimbali ya kuwaburudisha mashabiki wake wa...

 

10 years ago

Habarileo

Che-Mponda kuzikwa Ludewa J4 ijayo

Dk Aleck Che-Mponda enzi za uhai wakeMAZIKO ya mwasisi wa Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80), aliyefariki dunia Machi 30, mwaka huu katika Hospitali ya Massana jijini Dar es Salaam, yatafanyika Aprili 7, mwaka huu kijijini kwao Manda wilayani Ludewa, Njombe.

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!!No More Che Mundugwao! afariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Muhimbili

4

Che Mundugwao enzi za uhai wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Katika masikitiko makubwa na majonzi, Tanzania imeweza kumpoteza msanii mahiri  wa muziki wa asili nchini, Chigwele Che Mundugwao  alifariki mchana wa leo.

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali kutoka vyanzo vya habari, vilivyoifikia  chumba cha Habari Modewji blog, zilieleza kuwa, CHE MUNDUGWAO amefariki dunia leo Aprili 16, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hata hivyo taarifa zaidi zitaendelea  kutolewa hapo baadae..ENDELEA...

 

10 years ago

Michuzi

tunamlilia mwanazuoni na mwanasiasa mkongwe Marehemu Dkt Alec Che-Mponda

Marehemu Dkt. Alec Chemponda enzi za uhai wake
Mwenyekiti Mtendaji wa Michuzi Media Group anaungana na familia, ndugu, jamaa, jirani na marafiki wa  Chemponda katika kuomboleza kifo cha Dkt Alec Che Mponda kilichotokea juzi Machi 30, 2015 katika hospitali ya Massana jijini Dar es salaam kutokana na saratani (cancer) ya mifupa iliyokuwa ikimsumbua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 80.
Tunatoa mkono wa pole kwa binti mkubwa wa marehemu na blogger na mwanahabari mwenzetu, Bi Chemi...

 

5 years ago

Michuzi

SHUKURANI ZA MPIGANAJI EMMANUEL KIHAULE KWA MAMA YAKE MLEZI RITA CHE-MPONDA


Na Emmanuel KihauleKuna watu ni malaika waliotumwa na Mungu kuja hapa duniani kusaidia wengine wenye uhitaji.(Ndefu kidogo lakini naamini na wewe utaguswa sana).
Naona watu kadhaa akiwemo rafiki yangu George Kalimah wamenitaka niandike leo hii hii kuhusu namna huyu Mama Rita Che-Mponda (pichani juu na mumewe) alivyogusa maisha yangu anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa leo. Mama huyu ni Mke wa Marehemu Dkt. Aleck Humphrey Che-Mponda aliyekuwa mwalimu wa vyuo vikuu kadhaa hapa nchini na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia

>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani