Che-Mponda kuzikwa Ludewa J4 ijayo
MAZIKO ya mwasisi wa Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80), aliyefariki dunia Machi 30, mwaka huu katika Hospitali ya Massana jijini Dar es Salaam, yatafanyika Aprili 7, mwaka huu kijijini kwao Manda wilayani Ludewa, Njombe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Dk. Che-Mponda afariki dunia
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWASISI wa Chama cha Tanzania Peoples (TPP) aliyeandika chapisho la mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi, Dk. Aleck Che-Mponda, amefariki dunia.
Mtoto wa marehemu, Chemi Che-Mponda, alisema jana kwamba baba yake alifariki dunia jana katika Hospitali ya Massana iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Enzi za uhai wake, Dk. Che-Mponda alifanya utafiti kuhusu mgogoro wa Malawi na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa mwaka 1971 alipokuwa akisomea shahada ya uzamivu...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Che Mponda afariki dunia
MWASISI wa chama cha siasa, Tanzania People’s Party (TPP), Dk Aleck Che-Mponda (80) amefariki dunia katika hospitali ya Massana iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani ya mifupa.
10 years ago
Michuzitunamlilia mwanazuoni na mwanasiasa mkongwe Marehemu Dkt Alec Che-Mponda
Mwenyekiti Mtendaji wa Michuzi Media Group anaungana na familia, ndugu, jamaa, jirani na marafiki wa Chemponda katika kuomboleza kifo cha Dkt Alec Che Mponda kilichotokea juzi Machi 30, 2015 katika hospitali ya Massana jijini Dar es salaam kutokana na saratani (cancer) ya mifupa iliyokuwa ikimsumbua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 80.
Tunatoa mkono wa pole kwa binti mkubwa wa marehemu na blogger na mwanahabari mwenzetu, Bi Chemi...
5 years ago
MichuziSHUKURANI ZA MPIGANAJI EMMANUEL KIHAULE KWA MAMA YAKE MLEZI RITA CHE-MPONDA
Na Emmanuel KihauleKuna watu ni malaika waliotumwa na Mungu kuja hapa duniani kusaidia wengine wenye uhitaji.(Ndefu kidogo lakini naamini na wewe utaguswa sana).
Naona watu kadhaa akiwemo rafiki yangu George Kalimah wamenitaka niandike leo hii hii kuhusu namna huyu Mama Rita Che-Mponda (pichani juu na mumewe) alivyogusa maisha yangu anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa leo. Mama huyu ni Mke wa Marehemu Dkt. Aleck Humphrey Che-Mponda aliyekuwa mwalimu wa vyuo vikuu kadhaa hapa nchini na...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Makaidi kuzikwa wiki ijayo
NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MWILI wa Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi aliyefariki dunia juzi kwa shinikizo la damu unatarajiwa kuzikwa wiki ijayo.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka ndani ya familia ya marehemu Makaidi, zinaeleza kuwa atazikwa kati ya Jumatatu au Jumanne.
Mke wa marehemu, Modesta Makaidi ambaye jana jioni alikuwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuupeleka mwili wa marehemu, aliliambia gazeti hili...
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Che Mundugwao afariki dunia
NA RHOBI CHACHA
ALIYEWAHI kuwa Mjumbe wa Bodi na Katibu Mkuu wa Chama cha Muziki wa Asili nchini, mwanamuzi Chigwele che Mundugwao, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Muhimbili, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Che Mundugwao (48) aliyewahi kutamba na nyimbo mbalimbali za ngoma za asili ikiwemo ya ‘Tumetoka Kwetu Mayenge’, pia alikuwa mtayarishaji wa vipindi vya muziki vya redio.
Rais wa Shiriko la Muziki, Samweli Mbwana (Bratoni),
aliliambia Mtanzania kwamba msanii huyo aliyekuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UkDPTG0zd8I/VapRQve5mrI/AAAAAAADyaY/nI783EcG3Bs/s72-c/21e247d642dc0930f93b1ebe666457ff.jpg)
MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA KUSINI MASHARIKI KHALIFA KONDO MPONDA ACHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-UkDPTG0zd8I/VapRQve5mrI/AAAAAAADyaY/nI783EcG3Bs/s640/21e247d642dc0930f93b1ebe666457ff.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwzrJr570lk/VapRReBxZCI/AAAAAAADyak/8jJXs3zor4s/s640/fc0ff45f35054d1cc9e80751c071f907.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vEvcOUyF1cM/VapRQ45t05I/AAAAAAADyac/BXhA9pki6f4/s640/470d4e119d972a3c7c16b9afae23637c.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vbMl4craOSQ/VapRQq5w6YI/AAAAAAADyag/olMT0UXLBNg/s640/f6435f8983e19e2f476c15bcc7cced72.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s72-c/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s1600/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu.
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake, ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...