Davina Akiri Kuwa Waigizaji Wengi wa Kike Wanajiuza!!!
Muigizaji mkongwe wa filamu na moja kati ya waasisi wa Kaone Sanaa Group, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna waigizaji wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee.
“Tatizo ni kwamba wasanii tumekutana kila mmoja ana tabia zake na ni ngumu kujua undani wa mtu kwa kumtazama mara moja,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSUK7UH8zh2oRKAw3zFXefW1cqSTJI9Hw9kOWyRGad6DbBmIltp04DmN9iwAQzyLtj1gxgAcpEyRcQfp8vPmorJk/BET.jpg?width=650)
DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv9e3KIbYgwHuEpm6qgN9N6nxSGvHXuJO2pOuOd8iW565DoJEshFa6hvbA3P7yYsCBOPof0nTLdUXIIXShKjqigT/Top10.jpg)
TOP 10 YA WAIGIZAJI WA KIKE WENYE MVUTO AFRIKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8UCcj3IgILfZas5jLpV2ipOMsu8urntW4gTBXl65lyTlt**nt0aH4ka526ZKyPJjwVAq89D0ZsK61BkXMrQxbYX/Davina.jpg)
DAVINA AKIRI WASANII KUJIUZA!
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Natasha akerwa na utovu wa nidhamu kwa waigizaji wa kike
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
11 years ago
Bongo505 Aug
Forbes: Orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood waliolipwa pesa nyingi zaidi 2013-2014
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGggrqU25Fz3mr7FX9t0FkneNO0tCyvVD0tTqGbWyyejQbYvWZDawEKr-tXzhqOzmSKcdYjq3D-oqoMJNDPMHof/mahaba.jpg)
WENGI TUMEINGIA ‘CHOO CHA KIKE’, TUMEPENDA PASIPO NA PENZI!