Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI TUMEINGIA ‘CHOO CHA KIKE’, TUMEPENDA PASIPO NA PENZI!

Niwiki nyingine tulivu tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.Kwa wale wenzangu Waislam naamini watakuwa wameisherehekea Sikukuu ya Idd kwa furaha na amani. Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita kama utakuwa na kumbukumbu nzuri niliandika mada iliyokuwa inahusu jinsi unavyoweza kusherehekea sikukuu wakati mpenzi wako akiwa mbali na wewe. Ni mada...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi

>Waswahili wanao usemi maarufu kuwa, raha ya nyumba ni choo.Kwa hakika, hawakukosea kwani chakula chochote kinapoliwa lazima kitumike mwilini na mabaki yake kutolewa kwa njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akiri Kuwa Waigizaji Wengi wa Kike Wanajiuza!!!

Muigizaji  mkongwe wa filamu na moja kati ya waasisi wa Kaone Sanaa Group, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna waigizaji wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi.

Akipiga stori na paparazi wa GPL, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee.

“Tatizo ni kwamba wasanii tumekutana kila mmoja ana tabia zake na ni ngumu kujua undani wa mtu kwa kumtazama mara moja,...

 

11 years ago

Habarileo

Akutwa amekufa choo cha kulipia

MFANYABIASHARA wa mboga mkazi wa Magomeni, Dar es Salaam, Jamhuri Ally (53) amekutwa amekufa ndani ya choo cha kulipia eneo la Kisutu, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uzuri, ubaya wa choo cha kukaa

BAADHI ya watu huwa hawapendi kujadili mambo yanayohusiana na kinyesi kwa kudai ni jambo la siri na aibu. Kwa wanadamu wote tunapozungumzia ‘choo’ huwa tuna maana ya kinyesi, ijapokuwa neno...

 

10 years ago

Michuzi

WANAKWAYA WA CENTRAL MIRERANI WAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 34 YA SARUJI KUJENGEA CHOO CHA SHULE YA ENDIAMTU

Na Joseph Lyimo, MireraniShule ya msingi Endiamtu ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yenye upungufu wa matundu 19 ya choo, imepatiwa msaada wa mifuko 34 ya saruji iliyotolewa na kwaya ya Mirerani Central ya Kanisa la Wasabato SDA. Katibu wa Kanisa hilo, Benson Nyaura akizungumza jana wakati akikabidhi mifuko hiyo 34 ya saruji kwa Diwani wa kata ya Endiamtu Lucas Zacharia alisema kanisa ni taasisi inayojali mahitaji ya jamii hivyo wamejitoa ili kusaidia wanafunzi hao.  Nyaura alisema...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE


Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa  Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...

 

11 years ago

Habarileo

Wahitimu wa kike kidato cha 6 bado wachache

 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista MhagamaIDADI ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume na serikali imekuwa ikifanya juhudi za makusudi kukabiliana na changamoto hizo, kupandisha uwiano wa wanafunzi wa kike na kiume vyuoni kwa asilimia 50 kwa 50.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena

Wanaume wawili waliobadili jinsia na kubadili fikra zao katika ya safari yao ya maisha

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani