MADAM RITA AFUNGUKA "NILIZAA KATIKA UMRI MDOGO SANA"
![](http://1.bp.blogspot.com/-vwZQaooWQfw/UriW0og2n2I/AAAAAAAASLA/uyqQ9PYsdJ8/s72-c/Madam-Rita.jpg)
Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita amesema yeye ni miongoni mwa wanawake waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo lakini alikuwa jasiri wa kukabiliana na hali hiyo hadi akafanikiwa.Kupitia Facebook, Madam Rita amewashauri wasichana wanaojikuta katika katika hali hiyo kutokata tamaa kwakuwa bado wanaweza kufanikiwa. “Jambo mmoja msilofahamu kuhusu mimi, Nilipata ujauzito nikiwa na umri mdogo sana. Kwa jamii yetu inayotuzunguka, ukizaa katika umri mdogo, watu huwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Dec
Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Kuzaa katika umri mdogo hakukunifanya nikate tamaa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akS33MZV7PVKSCZbB*2fd97wJGTpEpN-zwuMjLUbIlgzqAWUwrKIdFZp5Jga7PpX-puYU8I5OpPx-vKNIujSF7cR/MADAM.jpg)
MADAM RITA ATESEKA SIKU 365
9 years ago
GPLMADAM RITA AWAPIGA CHINI WANASIASA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUn1km1JBUe76RrL15G1jK0jJs9N3IwnX9Fi0nEY7b0ktzhrJLhhlcUQOe581pxV7pf8l6LgMBL*co7F7WFcF1G4/b.jpg)
BSS: MADAM RITA ALIA NA BASATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgagl1IDu58ZKyGmpLZqSoCV8onxXCEy1tXs2X9-d2KhXUHw8iPlGSM7eCFha-HsdWOcmtrdzhQJ448R4uT0Kw-3/zaricopy.jpg?width=650)
KUMBE! ZARI, MADAM RITA NI NDUGU
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Vannesa ammwagia sifa Madam Rita
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, amempa sifa Mkurugenzi wa Bench Mark Production, waandaji wa kipindi cha kuibua vipaji vya muziki cha Bongo Stars Search ‘BSS’, Rita Poulsen ‘Madam Rita’, kuwa ni mwanamke anayestahili kuigwa na wanawake wengi nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Vanessa alisema sifa hizo amezitoa ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Rita, ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuibua vipaji vingi vya wasanii wachanga.
Vanessa alisema Rita...
9 years ago
Mtanzania12 Dec
KALLA JEREMIAH AMPA DARASA MADAM RITA
NA THERESIA GASPER
MIONGONI mwa wasanii ambao wametokea kukubalika katika miondoko ya Hip Hop ni Jeremiah KALA Masanja ‘Kala Jeremiah’ambaye anasumbua mbaya na ngoma zake kali zenye mashairi ya kiharakati.
Staa huyu ambaye ni zao la shindano la Bongo Star Search (BSS), msimu wa kwanza – mwaka 2007, anatamba na nyimbo kama Walewale, Wimbo wa Taifa, Waambieni na nyinginezo zikiwa zimetoa ujumbe mzuri kwa jamii na hasa kuwakumbusha wanasiasa ahadi walizotoa kwa wananchi wao.
Katika mahojiano...
9 years ago
Bongo531 Dec
Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita
![Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mshindi-wa-Bongo-Star-Search-2015-Kayumba-akiomba-dua-baada-ya-kutangazwa-mshindi-300x194.jpg)
Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.
Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.
“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”
Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.
Jiunge na Bongo5.com...