‘Ngono umri mdogo inachangia saratani’
VITENDO vya ngono wakati wa umri ndogo vinachangia kwa kiasi kikubwa watoto wa kike kuwa na ugonjwa wa shingo ya kizazi. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jul
Wasichana waongoza mapenzi umri mdogo
IDADI kubwa ya vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza mapenzi katika umri mdogo hivyo kujiweka katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).
Hayo yamo katika mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ya VVU kwa vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.
Ofisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/Ukimwi kutoka UNESCO, Herman Mathias, akiwasilisha mada hiyo amesema...
9 years ago
Habarileo13 Sep
Ngono salama kuepusha saratani ya shingo ya kizazi
WATANZANIA hususan w a n a w a k e wametakiwa kufanya ngono salama kuepuka maambukizi ya saratani ya shingo ya kizazi, yanayoelezwa kusababishwa na kirusi cha binadamu (Human Papilloma), kinachosambazwa kwa njia hiyo.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania
10 years ago
Mtanzania12 Jun
20 Percent: Umri wangu ni mdogo kujihusisha na siasa
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Abas Kinzasa ‘20 Percent’ amesema umri wake ni mdogo sana kujihusisha na masuala ya siasa kama ilivyo kwa rafiki yake, Afande Sele.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, 20 Percent alisema kwa sasa anajipanga kurudi upya kwenye tasnia ya muziki, baada ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu.
“Sijakaa kimya ili ni jihusishe na masuala ya siasa kama wengi wanavyofikiria, bali nina mipango yangu mingine kabisa,” alisema 20...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Kuzaa katika umri mdogo hakukunifanya nikate tamaa
9 years ago
GPLUMRI MDOGO+ PESA+UMAARUFU = VITUKO VYA JUSTIN BIEBER
10 years ago
VijimamboMADAM RITA AFUNGUKA "NILIZAA KATIKA UMRI MDOGO SANA"
10 years ago
VijimamboKIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...