Tuzo TWAA chachu ya mafanikio ya wanawake
KATIKA jamii inayotuzunguka kumejitokeza makundi, taasisi na wanaharakati mbalimbali ambao wanajitahidi kwa hali na mali kuhakikisha wanafanya vizuri katika kumkomboa mwanamke katika masuala mbalimbali. Yote hayo yanafanyika kwa nia njema,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba
Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.
..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA), wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...
10 years ago
GPLMCHAKATO WA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mkapa atunukiwa tuzo ya mafanikio
10 years ago
Habarileo25 May
Wanawake wa Kilombero watambia mafanikio yao
BAADHI ya wanawake wa wilaya ya Kilombero mkoa wa Morogoro ,wameeleza mafanikio ya kiuchumi waliyopata kupitia vikundi vya kuweka na kukopa kwamba yamesaidia pia kuimarisha ndoa miongoni mwao.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wanawake watumie siku hii kutathmini mafanikio
10 years ago
MichuziAfande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
10 years ago
MichuziNI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN - MHE SIMBA