TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa kijinsia
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg?width=640)
TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om*yKIIFG18cPnp3Nu69NBQihdbXMibOwGYxiWGdRhIQ9dn1PhdwZj*cJrjrHll7o8s9y18LroXs75jFRwkl4T-/mitumbakenia.jpg?width=650)
WAUZA MITUMBA WANAVYOTAPELIWA NA KUPOTEZA MAMILIONI YA FEDHA
11 years ago
Habarileo01 Feb
Wauza nguo za ndani mitumba waizidi ujanja TBS
WAFANYABIASHARA wa nguo za ndani zilizo hafifu maarufu kama mitumba jijini Mbeya, jana waliwazidi ujanja maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuficha nguo hizo wakati wa operesheni ya kuzikusanya na kuwakamata wauzaji.
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wataka kesi udhalilishaji wa kijinsia ziharakishwe
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wale wanaounda Umoja wa Wanawake (Uwawaza) wameitaka Serikali kuchukua juhudi za kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na kuvitaka vyombo vya sheria ikiwemo mahakama kuharakisha kesi hizo ili zitolewe hukumu zake.
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
UN, SMZ kushirikiana kukomesha udhalilishaji wa kijinsia
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Dawati la Jinsia na Watoto, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Mahonda wakati wa ziara fupi ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa visiwani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja huo tangu kuanzishwa.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na...
11 years ago
Habarileo30 Jul
Rais Shein ataka udhalilishaji wa kijinsia kukomeshwa
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka miezi iliyobakia ya mwaka wa 2014, iwe ya kupambana na kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Katika utekelezaji wa agizo hilo, Dk Shein ametaka vyombo vya sheria kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika watakaobainika kufanya matukio hayo.
10 years ago
Habarileo15 Dec
Soko la Mchikichini kukarabatiwa
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imejitolea kukarabati miundombinu ya maji iliyoharibiwa kutokana na ajali ya moto iliyotokea katika Soko la Mchikichini, lililoungua hivi karibuni na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha.