Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Nzega walia na wanasiasa

MADIWANI wa Halamashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, wametaka wanasiasa kutoingiza siasa kwenye miradi ya maendeleo. Baadhi ya madiwani waliyozungumza na Tanzania Daima mara baada ya kuwasilisha taarifa za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Nzega wataka bei ya pamba iboroshwe

MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wameiomba serikali kuangalia upya bei ya zao la pamba. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha baraza la...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini wakumbuka mashujaa ‘walia’ na wanasiasa

Viongozi wa dini nchini wameendelea kuwataka wanasiasa kuweka kando maslahi binafsi ya vyama vyao katika mchakato wa Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Hai walia kudharauliwa

BARAZA la Madiwani wilayani Hai, limeeleza kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya watendaji kudharu baraza hilo kwa kutofanyia kazi maamuzi yanayopitishwa na baraza hilo. Akizungumza kwenye kikao cha kawaida cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani Dodoma walia na ukata wa maisha

Dodoma. Madiwani wa Manispaa ya Dodoma wamemuomba mkurugenzi wa manispaa hiyo kuwalipa fedha za malimbikizo ya posho zao kwa kuwa ni haki yao.

 

10 years ago

Michuzi

Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Awali ya yote nianze kwa kumshukuru mwenyezi mungu, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu, kwa kutujalia afya njema na kutukutanisha hapa siku hii adhimu ya leo, maana ni kwa utashi wake tu tunaweza kuyafanya haya yote.


Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.


Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...

 

11 years ago

Daily News

Hunger seen stalking Nzega


Hunger seen stalking Nzega
Daily News
RESIDENTS of Nzega in Tabora Region have been urged to preserve the little food they have harvested and avoid using it in making local brews and other useless activities. The call has been advanced by Nzega District Council Chairman, Patrick Mbozu, ...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu Nzega wajitoa CWT

WALIMU wa shule za msingi na sekondari wilayani Nzega mkoani Tabora wamesema wamejitoa katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kwa kuwa hakina faida kwao.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA - NZEGA MJINI LEO

Chopa ya Mgombea Urais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ikitua eneo la Uwanja wa Mkutano, huku wananchi wa Nzega wakiishangilia, leo Septemba 6, 2015. PICHA ZOTE NA OTHMA MICHUZI, NZEGA.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, alieambatana na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe wakiwasili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani