Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chaneta Tanzania kukutana na Serikali

Chama cha mchezo wa pete Tanzania (Chaneta) kimepanga kukutana na serikali kujadili namna ya kuandaa mashindano ya Afrika .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau CHANETA kukutana Feb. 25

CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA), kinatarajia kukutana tena na wadau Februari 25 kwa lengo la kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ya mchezo huo unaokabiliwa na changamoto nyingi kubwa ikiwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali, wadau wakisikie kilio hiki cha Chaneta

MASHINDANO ya netiboli kwa nchi za Afrika Mashariki yaliyoanza Machi 22 hadi 29 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, yamefikia tamati mwishoni mwa wiki. Licha ya mashindano hayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi Hong K. kukutana na serikali

Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda kukutana na wadau Serikali za Mitaa

<p> WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameahidi kukutana na wadau mbalimbali, ili kupitia Kanuni za Sheria ya Serikali za Mitaa  kwa lengo la kutoa mapendekezo ya kuziboresha.</p> <p> Pinda alitoa ahadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji,Serikali kukutana:Hong Kong

Wanafunzi wanaoongoza mgomo kwa zaidi ya wiki tatu Hong Kong leo wanatarajiwa kukutana na uongozi wa serikali kwa majadiliano

 

10 years ago

StarTV

Wanafunzi Hong Kong kukutana na serikali

Viongozi wa wanafunzi huko Hong Kong wamekubali kukutana na upande wa serikali kujadili malalamiko yao siku tano baada ya maandamano makubwa ya kupigania demokrasia.

Hiyo inafuatia mwaliko kutoka kwa mkuu wa utawala wa Hong Kong CY Leung. Alitoa taarifa hiyo muda mfupi kabla ya kumalizika kwa muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao waliotishia kuvamia majengo ya serikali iwapo mkuu huyo hatajiuzulu.

Muda wa mwisho uliowekwa na wanafunzi hao umemalizika salama.

Bwana Leung amesema...

 

9 years ago

Michuzi

URUWA WAOMBA KUKUTANA NA VIONGOZI WA ZAC, CUF,CCM NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.


Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na viongozi wa mashirkiano ya umoja wa vyama vya UDA, TADEA,UDP,UPDP,na SAU kwa kuwaomba viongozi wa ZEC,CUF,CCM na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili waweze kukutana na kuzungumza pamoja kuhusiana na migoro wa kisiasa nchini humo, ameyasema leo jijini Dar es Salaam.
Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda katikati akizungumza na waandishi a habari jijini Dar es Salaam leo, kutoka kushoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magavana kukutana Tanzania

TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki (BOG), utakaofanyikia jijini Dar es Salaam Agosti 22 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani