Yanga yapewa msaada na TFF ili iweze kurudi nyumbani
Wachezaji wa klabu ya Yanga sasa wanatarajia kuingia Dar es Salaam leo kutoka nchini Algeria.
Wameondoka na ndege ya Emirates badala ya Turkish Airways na imeelezwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limelazimika kutoa mkopo kwa klabu hiyo ili kuwakomboa.
Wachezaji saba na katibu mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa walichelewa ndege jijini Algeria na kulazimika kusubiri hadi Jumanne ndiyo waondoke na kutua nchini siku ya jumatano.
Wachezaji walioachwa ni Kelvin Yondani, Deogratius...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Kikwete amezitaka nchi za Afrika kuipa nguvu Mahakama ya Afrika ili iweze kusikiliza kesi za jinai
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
Rais Jakaya Kikwete...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
TFF ya Malinzi yapewa ushauri
WAKATI uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi ukitimiza siku 100 hapo Februari 7 tangu ulipoingia madarakani Oktoba 27, mwaka jana, Mbwana Msumari, ambaye...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Camara azuiwaa kurudi nyumbani-Guinea
5 years ago
CCM BlogTANZANIA YAPEWA NA MADAGASCAR MSAADA WA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akipokea kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva msaada wa dawa ya...
10 years ago
Vijimambo25 Oct
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
9 years ago
VijimamboBALOZI AMINA SALUM ALI AANZA KUAGWA WASHINGTON, DC KWA SAFARI YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
5 years ago
MichuziSIMBA YAPEWA AZAM, YANGA DHIDI YA KAGERA KOMNE LA ASFC
Upangaji huo umerushwa moja kwa moja na kituo cha Azam na kusimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).
Katika mchezo wa kwanza, Simba Watakutana na Azam ikiaminiwa ni kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa sana kutokana na historia ya mchezo wa ligi uliopita.
Mchezo wa pili utakuwa ni Yanga wakiwakaribisha Kagera...