Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Camara azuiwaa kurudi nyumbani-Guinea

Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi nchini Guinea Moussa Dadis Camara ameiambia BBC kuwa utawala wa nchi hiyo unamzuia kurejea nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Former Guinea ruler Camara charged

Former Guinea military ruler Moussa Dadis Camara is indicted for his role in a 2009 massacre in Conakry, his lawyer says.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kapteni Camara ashtakiwa rasmi Guinea

Mashtaka hayajabainishwa wazi lakini Kapteni Dadis Camara amehojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika katika mauaji ya halaiki 2009

 

5 years ago

Bongo5

Yanga yapewa msaada na TFF ili iweze kurudi nyumbani

Wachezaji wa klabu ya Yanga sasa wanatarajia kuingia Dar es Salaam leo kutoka nchini Algeria.

Wameondoka na ndege ya Emirates badala ya Turkish Airways na imeelezwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limelazimika kutoa mkopo kwa klabu hiyo ili kuwakomboa.

Wachezaji saba na katibu mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa walichelewa ndege jijini Algeria na kulazimika kusubiri hadi Jumanne ndiyo waondoke na kutua nchini siku ya jumatano.

Wachezaji walioachwa ni Kelvin Yondani, Deogratius...

 

11 years ago

Vijimambo

NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI

Mmoja wa manesi waliopata Ebola wakati akimuuguza mgonjwa wa Ebola Thomas Eric Duncan aliyepata wakati akitokea Liberia. Nesi Nina Pham leo Ijumaa Oct 24, 2014 ameruhusiwa kutoka hospitali NIH alipokua amelazwa baada ya kupona virusi vya Ebola. Nesi Nina baadae yeye na familia yake walipitia Ikulu kukutana na Rais Barack Obama kabla ya kuondoka na kuelekea Texas kwenda kuungana na ndugu, jamaa na marafiki.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI AMINA SALUM ALI AANZA KUAGWA WASHINGTON, DC KWA SAFARI YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA

Balozi Amina Salum Ali katika harakati za kurudi nyumbani ameanza kuonana na viongozi wa serikali ya marekani.hapa amefuatana na ofisi wa u balozi wa Afrika akiwa na Balozi Linda Greenfield Msaidizi wa seketari anayeshughulikia Afrika leo asubuhi ofisi ya mambo ya nje Washington dc

 

11 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Camara awa kivutio Yanga

Kiungo Lansana Camara kutoka Sierra Leone amesema anafurahia mazoezi katika klabu ya Yanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu

Kiungo Lansana Camara amesema atatumia mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Sports Club Villa ya Uganda kuonesha uwezo wake.

 

9 years ago

BBC

Derby sign Angers striker Camara

Championship club Derby County sign Guinea international forward Abdoul Camara from French side Angers.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani