Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fainali za Olimpiki kuchezwa Maracana

Shirikisho la FIFA limeutangaza uwanja wa Maracana kuwa ndio utakaotumika katika fainali za michezo ijayo ya Olimpiki zitakazofanyika Brazil.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014

10483693_10152613768874274_7623359552862710850_n

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.

 

10 years ago

Michuzi

FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI

Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL), inatarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Awali mchezo huo wa fainali ulikuwa umepangwa kufanyika kesho kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, lakini kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TTF imepelekea mchezo huo kuhamishiwa Chamazi.

Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama waimarishwa Maracana.

Usalama waimarishwa katika uwanja wa Maracana kufuatia jaribio la mashabiki kuruka ua kutizama mechi bila malipo

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014:All set for epic final at Maracana

It will be Europe against South America at Maracana today. Two strongest teams from two leading football continents will be fighting for the top honour -- Argentina bidding to win it for the third time and Germany their fourth.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?

Chama cha vilabu vya soka barani ulaya wanataka michuano ya kombe la dunia yafanyike kati ya Mei 5 na Juni 4.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi nane za EPL kuchezwa jumamosi

,Arsenal itakuwa ugenini West Bromwich,Liverpool ikipimana nguvu na Stoke City nayo Manchester ikiialika Hull City.

 

9 years ago

Mtanzania

Muziki wa Afrika kuchezwa Marekani leo

AntiqueZIARA ya muziki ya mwimbaji wa Afro Pop kutoka Marekani, Wicks Davis ‘Antique’ nchini Marekani inatarajiwa kuonyesha ubora na vionjo vya muziki wa Afrika aliouandaa baada ya ziara yake ya kimataifa za kimuziki katika nchi hizo.

“Katika ziara yangu hiyo ya ‘The Remember Tour’ nitakuwa nikipiga muziki nilioutengeneza kutokana na ubora na vionjo vya muziki wa Afrika,’’ alisema Antique, alipozungumza na Mtanzania akitokea Marekani.

Onyesho la kwanza linafanyika leo katika ukumbi wa makumbusho...

 

5 years ago

Michuzi

LIGI TANZANIA KUCHEZWA BILA WATAZAMAJI

KIKAO cha Kamati ya Uongozi cha TFF kimeazimia kuwa, baada ya siku 30 serikali itakaporuhusu michezo kuendelea, mechi za ligi kuu, ligi daraja la kwanza, ligi daraja la pili na ligi ya mabingwa wa mikoa (RCL) zitachezwa bila watazamaji, ili kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo mara baada ya kikao hicho ambacho kimehudhuriwa pia na Rais wa TFF, Wallace Karia.
Kasongo amesema pia kuwa wachezaji wote watafanyiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani