Kombe la Dunia kuchezwa Mei na June?
Chama cha vilabu vya soka barani ulaya wanataka michuano ya kombe la dunia yafanyike kati ya Mei 5 na Juni 4.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYm2Y2A4nEjmYBjojVS67LaEIvyNE*0HWGz*t5l7gAQpi2lOT3g80QdALFPHPwAQIHQa-N-Pe0-pGoncBkQTI*qg/FACUP.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s72-c/congress%2B2015.png)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 17 WA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO) NCHINI USWISI TAREHE: 25 MEI HADI 12 JUNE 2015.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s640/congress%2B2015.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi pamoja na ujumbe wa Tanzania akiwemo Bwana Mohamed Ngwali, Mkurugenzi wa TMA – Ofisi ya Zanzibar, wanashiriki mkutano mkuu wa 17 wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) unaofanyika Uswisi, makao makuu ya Shirika hilo kuanzia tarehe 25 Mei hadi 12 Juni...
11 years ago
MichuziUTUMISHI YANYAKUA KOMBE KUPITIA MPIRA WA PETE MASHINDANO YA MEI MOSI 2014
Na. James Katubuka
Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetawazwa rasmi kuwa bingwa wa mpira wa Pete wa Mashindano ya Mei Mosi 2014.
Utumishi imefanikiwa kuwa bingwa baada ya kuisambaratisha timu ya Wizara ya Uchukuzi kwa ushindi wa magoli 33 dhidi ya 21. Mchezo huo wa fainali ulifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Katika mchezo huo mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Ofisi ya Rais Utumishi ndiye aliyekua tishio kwa kuongoza wachezaji wa timu yake kufanikisha ushindi...
Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetawazwa rasmi kuwa bingwa wa mpira wa Pete wa Mashindano ya Mei Mosi 2014.
Utumishi imefanikiwa kuwa bingwa baada ya kuisambaratisha timu ya Wizara ya Uchukuzi kwa ushindi wa magoli 33 dhidi ya 21. Mchezo huo wa fainali ulifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Katika mchezo huo mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Ofisi ya Rais Utumishi ndiye aliyekua tishio kwa kuongoza wachezaji wa timu yake kufanikisha ushindi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FWDKt9VYCpw/U4jJYt7QN9I/AAAAAAAFmlE/Szaa7bfPfoI/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Mwanamitindo Rodney afariki dunia, kuzikwa Jumamosi Mei 31
MBUNIFU na mwanamitindo (model) Rodrick Charles maarufu kwa jina la ‘Rodney de lativo’ amefariki dunia jana (Mei 30) baada ya kuugua kwa muda alipokuwa amelazwa Hospitali ya Jeshi, Lugalo.
Akizungumza na Mtandao huu mapema leo kwa njia ya simu, Rafiki wa karibu wa familia ya marehemu, David Msangi alisema marehemu alipatwa na umauti alipokuwa akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Lugalo, alipokuwa amelazwa na msiba huo hupo nyumbani kwa marehemu Tabata Bonyokwa,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s72-c/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
kombe la dunia brazil?
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwgjiUDC0-o/U5qox1o29II/AAAAAAAFqQQ/LJb59Yj0u_g/s1600/800731fcc4607f2aeab40118b301c848.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z162oVsMbik/U5qozd4We1I/AAAAAAAFqQY/ZEkvhGsuSns/s1600/f10db12d9ddf2ffdb8da742209b62024.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3xY8dpaHm57Y0N6pSMKZCaKrSh1jckLhYXMSCr-vEcvHMs0EZ*sUGvHdHdIKUzzHF*AMA-GhxQK3oi8nTtJTUk/4.gif?width=750)
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Historia ya kombe la dunia
Mihemko imeanza kushuhudiwa kabla ya kombe la dunia kuanza Brazil. Je unajua historia ya kombe hilo na baadhi ya wachezaji waliowakilisha Afrika?
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania