Usalama waimarishwa Maracana.
Usalama waimarishwa katika uwanja wa Maracana kufuatia jaribio la mashabiki kuruka ua kutizama mechi bila malipo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Usalama waimarishwa Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
AFCON:Usalama waimarishwa katika fainali
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Fainali za Olimpiki kuchezwa Maracana
11 years ago
TheCitizen13 Jul
BRAZIL 2014:All set for epic final at Maracana
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
10 years ago
Mtanzania07 Oct
Ulinzi waimarishwa Dodoma
![Mjini Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Dodoma-Square.jpg)
Mjini Dodoma
DEBORA SANJA, DODOMA NA ESTHER MBUSSI, DAR
VIKOSI vya ulinzi na usalama, vimeimarisha ulinzi mkoani Dodoma ikiwa ni maandalizi ya sherehe za kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.
Kukabidhiwa kwa Katiba hiyo kunahitimisha uhai wa siku 90 za Bunge la Katiba ambalo lilianza vikao vyake Februari 18 hadi Aprili 25, mwaka huu kwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.
Awamu ya pili ya uhai wa Bunge...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ulinzi waimarishwa Nairobi
KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Fransisko anatarajiwa kuwasili hapa leo j
Paul Sarwatt
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ulinzi waimarishwa Brussels
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Ulinzi waimarishwa kwa Magufuli