Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usalama waimarishwa Maracana.

Usalama waimarishwa katika uwanja wa Maracana kufuatia jaribio la mashabiki kuruka ua kutizama mechi bila malipo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Usalama waimarishwa Afrika Kusini

Maafisa zaidi wa polisi wametumwa katika maeneo yenye mashambulio dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Usalama waimarishwa katika fainali

Usalama umeimarishwa kwa mechi ya fainali ya kombe la Afrika kati ya Ivory Coast na Ghana .

 

9 years ago

BBCSwahili

Fainali za Olimpiki kuchezwa Maracana

Shirikisho la FIFA limeutangaza uwanja wa Maracana kuwa ndio utakaotumika katika fainali za michezo ijayo ya Olimpiki zitakazofanyika Brazil.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014:All set for epic final at Maracana

It will be Europe against South America at Maracana today. Two strongest teams from two leading football continents will be fighting for the top honour -- Argentina bidding to win it for the third time and Germany their fourth.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014

10483693_10152613768874274_7623359552862710850_n

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.

 

10 years ago

Mtanzania

Ulinzi waimarishwa Dodoma

Mjini Dodoma

Mjini Dodoma

DEBORA SANJA, DODOMA NA ESTHER MBUSSI, DAR

VIKOSI vya ulinzi na usalama, vimeimarisha ulinzi mkoani Dodoma ikiwa ni maandalizi ya sherehe za kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.

Kukabidhiwa kwa Katiba hiyo kunahitimisha uhai wa siku 90 za Bunge la Katiba ambalo lilianza vikao vyake Februari 18 hadi Aprili 25, mwaka huu kwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.

Awamu ya pili ya uhai wa Bunge...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ulinzi waimarishwa Nairobi

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Fransisko anatarajiwa kuwasili hapa leo j

Paul Sarwatt

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulinzi waimarishwa Brussels

Ubelgiji imewakamata watu 16 katika operesheni ya polisi kupambana na ugaidi mjini Brussels.

 

10 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa kwa Magufuli

>Saa chache baada ya Dk John Magufuli kutangazwa kuwa mteule wa CCM kuwania urais, ulinzi umeimarishwa kwa mgombea mwenyewe, nyumbani kwake eneo la Ada Estate, Dar es Salaam na jimboni Chato mkoani Geita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani