Ulinzi waimarishwa kwa Magufuli
>Saa chache baada ya Dk John Magufuli kutangazwa kuwa mteule wa CCM kuwania urais, ulinzi umeimarishwa kwa mgombea mwenyewe, nyumbani kwake eneo la Ada Estate, Dar es Salaam na jimboni Chato mkoani Geita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania07 Oct
Ulinzi waimarishwa Dodoma

Mjini Dodoma
DEBORA SANJA, DODOMA NA ESTHER MBUSSI, DAR
VIKOSI vya ulinzi na usalama, vimeimarisha ulinzi mkoani Dodoma ikiwa ni maandalizi ya sherehe za kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.
Kukabidhiwa kwa Katiba hiyo kunahitimisha uhai wa siku 90 za Bunge la Katiba ambalo lilianza vikao vyake Februari 18 hadi Aprili 25, mwaka huu kwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.
Awamu ya pili ya uhai wa Bunge...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ulinzi waimarishwa Brussels
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ulinzi waimarishwa Nairobi
KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Fransisko anatarajiwa kuwasili hapa leo j
Paul Sarwatt
11 years ago
Mwananchi23 Sep
Ulinzi waimarishwa mara dufu bungeni
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba
10 years ago
Vijimambo04 Jul
ULINZI WAIMARISHWA NDANI YA JIJI LA WASILO LALA NEW YORK CITY WIKI ENDI HII YA 4TH JULY

Hapa ni polisi akimpatia maelekezo wapi kwa kupita msafiri katika kituo kikubwa cha mabasi cha Port Authority New York City.






9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Rais Magufuli aimarishiwe ulinzi
“Hotuba hii ya Rais Magufuli ni moja ya hotuba bora kabisa katika historia ya siasa za Tanzania.”
Evarist Chahali
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Polisi waimarisha ulinzi kuapishwa Dk. Magufuli
VERONICA ROMWALD NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi limesema limeimarisha ulinzi kesho wakati wa kuapishwa Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli.
Sherehe za kuapishwa Dk. Mgufuli zitafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuhudhuria.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Oparesheni Maalumu wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, alisema ni marufuku kwa wananchi kushiriki...
10 years ago
Michuzi
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI

Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...