Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba
Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa
Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina raia yeyote aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-luPix4kgWss/U7RUzSfGXdI/AAAAAAAFucs/Vw70iq87R1c/s72-c/PlQgI3iPvlGry0FK3kkUbus2KaxCM3kYKJqEcz2u_vI.jpg)
ANKAL NA WADAU VIWANJA VYA SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-luPix4kgWss/U7RUzSfGXdI/AAAAAAAFucs/Vw70iq87R1c/s1600/PlQgI3iPvlGry0FK3kkUbus2KaxCM3kYKJqEcz2u_vI.jpg)
11 years ago
GPLMR. CHAMPIONI AGOMBEWA NA WASOMAJI VIWANJA VYA SABASABA
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Ni kweli viwanja vya maonyesho Sabasaba vimepitwa na wakati
MAONYESHO ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyoanza Juni 28 mwaka huu kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, maarufu kama Sabasaba, yalihitimishwa jana. Wafanyabiashara kutoka...
10 years ago
GPLWAFANYABIASHA WAANZA KUSEPA VIWANJA VYA SABASABA DAR
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ulinzi waimarishwa Nairobi
KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Fransisko anatarajiwa kuwasili hapa leo j
Paul Sarwatt
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ulinzi waimarishwa Brussels
10 years ago
Mtanzania07 Oct
Ulinzi waimarishwa Dodoma
![Mjini Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Dodoma-Square.jpg)
Mjini Dodoma
DEBORA SANJA, DODOMA NA ESTHER MBUSSI, DAR
VIKOSI vya ulinzi na usalama, vimeimarisha ulinzi mkoani Dodoma ikiwa ni maandalizi ya sherehe za kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.
Kukabidhiwa kwa Katiba hiyo kunahitimisha uhai wa siku 90 za Bunge la Katiba ambalo lilianza vikao vyake Februari 18 hadi Aprili 25, mwaka huu kwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.
Awamu ya pili ya uhai wa Bunge...