Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MR. CHAMPIONI AGOMBEWA NA WASOMAJI VIWANJA VYA SABASABA

Mr. Championi akiwa na msomaji wa Gazeti la Championi katika picha ya pamoja. Mr. Championi akirandaranda ndani ya Viwanja vya Sabasaba kuwasaka wasomaji wa Gazeti la Championi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI ATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Msomaji wa Championi Jumamosi akirudishiwa pesa baada ya kukutwa akisoma gazeti. Msomaji wa gazeti la Championi Jumamosi akirudishiwa pesa…

 

11 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI AENDELEA KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WA GAZETI JIPYA LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Mr. Championi akimkabidhi zawadi msomaji wa Championi Jumamosi akiwa amevua shati, kwa raha zake. Msomaji akirudishiwa Sh 500 aliyonunulia gazeti baada ya kukutwa na Mr. Championi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba

Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.

 

11 years ago

Michuzi

ANKAL NA WADAU VIWANJA VYA SABASABA

Ankal kila pozi na wadau Njovu wa TRA (kati) na George Colyvas wa kampuni ya Property International kwenye viwanja vya maonesho ya kimataifa ya biashara barabara ya Kilwa Road jijini Dar es salaam. Ankal amefarijika mno kukuta kila kona kuna wadau wa Globu ya Jamii ambao walimlaki kwa furaha kila banda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni kweli viwanja vya maonyesho Sabasaba vimepitwa na wakati

MAONYESHO ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyoanza Juni 28 mwaka huu kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, maarufu kama Sabasaba, yalihitimishwa jana. Wafanyabiashara kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB inatoa huduma za kibenki katika maonyesho hayo ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti kwa wateja wapya na kutoa huduma za kuweka na kutoa fedha katika tawi linalotembea iliyopo katika viwanja vya Sabasaba. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma (Na Mpiga Picha Wetu) 
  Mkurugenzi...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHA WAANZA KUSEPA VIWANJA VYA SABASABA DAR

Mizigo ikipakizwa kwenye gari kwa ajili ya kuondoka viwanjani hapo.
Zoezi la kupakia mizigo kwenye gari ndani ya viwanja hivyo likiendelea.
Mitungi ya Gesi iliyokuwa katika maonesho ikipakizwa kwenye…

 

11 years ago

GPL

WASOMAJI WA RISASI NA CHAMPIONI WAZAWADIWA

Mhariri wa Risasi Mchanganyiko, Mohammed Kuyunga (kulia) akiwa na Joshua Simon aliyenunua magazeti ya Risasi na Championi, Kimara Suka jijini Dar na kurudishiwa fedha zake. Msomaji aliyekutwa akisoma Gazeti la Uwazi, Rebecca Mlotwa, aliweza kununuliwa Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Ubungo jijini Dar.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Banda la Tigo lafurika viwanja vya maonyesho ya Kimataifa Sabasaba

DSC_4592

Afisa wa mauzo wa Tigo Bi Annia Ernest akitoa huduma kwa mteja wake aliyefika kwenye banda la Tigo.

DSC_4581

Watoto wakifurahia kucheza pamoja kwenye michezo mbalimbali iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo kwenye maonyesho ya sabasaba.

DSC_4583

Wateja waliofurika kwenye banda la Kampuni ya simu za mkononi Tigo wakati wa maonyesho ya kimataifa ya biashara sabasaba jana jijini Dar es Salaam.

DSC_4615

DSC_4611

Afisa wa mauzo wa Tigo akiwahudumia wateja waliofika kupata huduma kwenye maonyesho ya sabasaba.

DSC_4730

DSC_4721

Wasanii wa kikundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani