Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHA WAANZA KUSEPA VIWANJA VYA SABASABA DAR

Mizigo ikipakizwa kwenye gari kwa ajili ya kuondoka viwanjani hapo.
Zoezi la kupakia mizigo kwenye gari ndani ya viwanja hivyo likiendelea.
Mitungi ya Gesi iliyokuwa katika maonesho ikipakizwa kwenye…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TASWIRA ILIVYOKUWA LEO KATIKA VIWANJA VYA SABASABA JIJINI DAR

Katibu wa Matimila- Agri Marketing Services, Innocent Tindwa (kushoto) akishikilia  vitabu vya Eric Shigongo pamoja na mfanyakazi mwenzake kwenye Banda la Shigongo lililopo viwanja vya Sabasaba. Wananchi wakikaguliwa na askari kwa vifaa maalum. Umati wa watu uliofurika viwanjani hapo.igongo.…

 

10 years ago

Michuzi

MAONESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YAANZA LEO VIWANJA VYA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu yanayoanza...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA YA UZINDUZI RASMI WA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA DAR

Vijana wa Scout walivyokuwa wamepanga kwa ajili ya kumpokea Rais Jakaya Kikwete. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akishuka katika viwanja vya Sabasaba jana. Lango kuu la kuingia kwenye ukumbi uliokuwa umeandaliwa maalum kwa mgeni rasmi. Baadhi ya watu waliofurika katika viwanja hivyo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya kimataifa ya elimu yaanza katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere SabaSaba jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba

Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.

 

11 years ago

Michuzi

ANKAL NA WADAU VIWANJA VYA SABASABA

Ankal kila pozi na wadau Njovu wa TRA (kati) na George Colyvas wa kampuni ya Property International kwenye viwanja vya maonesho ya kimataifa ya biashara barabara ya Kilwa Road jijini Dar es salaam. Ankal amefarijika mno kukuta kila kona kuna wadau wa Globu ya Jamii ambao walimlaki kwa furaha kila banda.

 

11 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI AGOMBEWA NA WASOMAJI VIWANJA VYA SABASABA

Mr. Championi akiwa na msomaji wa Gazeti la Championi katika picha ya pamoja. Mr. Championi akirandaranda ndani ya Viwanja vya Sabasaba kuwasaka wasomaji wa Gazeti la Championi.…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB inatoa huduma za kibenki katika maonyesho hayo ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti kwa wateja wapya na kutoa huduma za kuweka na kutoa fedha katika tawi linalotembea iliyopo katika viwanja vya Sabasaba. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma (Na Mpiga Picha Wetu) 
  Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni kweli viwanja vya maonyesho Sabasaba vimepitwa na wakati

MAONYESHO ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyoanza Juni 28 mwaka huu kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, maarufu kama Sabasaba, yalihitimishwa jana. Wafanyabiashara kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani