Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni kweli viwanja vya maonyesho Sabasaba vimepitwa na wakati

MAONYESHO ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyoanza Juni 28 mwaka huu kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, maarufu kama Sabasaba, yalihitimishwa jana. Wafanyabiashara kutoka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Banda la Tigo lafurika viwanja vya maonyesho ya Kimataifa Sabasaba

DSC_4592

Afisa wa mauzo wa Tigo Bi Annia Ernest akitoa huduma kwa mteja wake aliyefika kwenye banda la Tigo.

DSC_4581

Watoto wakifurahia kucheza pamoja kwenye michezo mbalimbali iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo kwenye maonyesho ya sabasaba.

DSC_4583

Wateja waliofurika kwenye banda la Kampuni ya simu za mkononi Tigo wakati wa maonyesho ya kimataifa ya biashara sabasaba jana jijini Dar es Salaam.

DSC_4615

DSC_4611

Afisa wa mauzo wa Tigo akiwahudumia wateja waliofika kupata huduma kwenye maonyesho ya sabasaba.

DSC_4730

DSC_4721

Wasanii wa kikundi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya kimataifa ya elimu yaanza katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere SabaSaba jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu...

 

11 years ago

Michuzi

PPF WAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WAKATI KATIKA MAONYESHO YA 38 YA SABASABA

 Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Jackline Jackson akitoa ufafanuzi juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa wateja waliotembelea Banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea Kufanyika katika viwanja hivyo. Afisa Rasilimali Watu, Utawala na Ushauri wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Happiness Mmbando (Kulia) akimuhudumia mmoja wa wateja waliotembelea banda la PPF katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba

Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.

 

11 years ago

Michuzi

ANKAL NA WADAU VIWANJA VYA SABASABA

Ankal kila pozi na wadau Njovu wa TRA (kati) na George Colyvas wa kampuni ya Property International kwenye viwanja vya maonesho ya kimataifa ya biashara barabara ya Kilwa Road jijini Dar es salaam. Ankal amefarijika mno kukuta kila kona kuna wadau wa Globu ya Jamii ambao walimlaki kwa furaha kila banda.

 

10 years ago

Michuzi

GLOBAL EDUCATION LINK YAVIALIKA VYUO KIKUU VYA SHARDA NA LOVELY PROFESSIONAL VYA INDIA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa vyuo vya nje ya nchi kutoka kushoto ni Meneja Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely Professional cha Nchini India, Bw. Gulshan Sandh na Bw. Sourabh Chaudhary pamoja na Meneja wa Kanda wa Chuo Kikuu cha Sharda cha nchini India, Bw. Deepak Kaushik mara baada ya kuwakaribisha katika ofisi yao iliyopo ndani ya maonyesho ya 39 ya...

 

11 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI AGOMBEWA NA WASOMAJI VIWANJA VYA SABASABA

Mr. Championi akiwa na msomaji wa Gazeti la Championi katika picha ya pamoja. Mr. Championi akirandaranda ndani ya Viwanja vya Sabasaba kuwasaka wasomaji wa Gazeti la Championi.…

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHA WAANZA KUSEPA VIWANJA VYA SABASABA DAR

Mizigo ikipakizwa kwenye gari kwa ajili ya kuondoka viwanjani hapo.
Zoezi la kupakia mizigo kwenye gari ndani ya viwanja hivyo likiendelea.
Mitungi ya Gesi iliyokuwa katika maonesho ikipakizwa kwenye…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB inatoa huduma za kibenki katika maonyesho hayo ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti kwa wateja wapya na kutoa huduma za kuweka na kutoa fedha katika tawi linalotembea iliyopo katika viwanja vya Sabasaba. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma (Na Mpiga Picha Wetu) 
  Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani