Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulinzi waimarishwa Dodoma

Mjini Dodoma

Mjini Dodoma

DEBORA SANJA, DODOMA NA ESTHER MBUSSI, DAR

VIKOSI vya ulinzi na usalama, vimeimarisha ulinzi mkoani Dodoma ikiwa ni maandalizi ya sherehe za kukabidhi Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.

Kukabidhiwa kwa Katiba hiyo kunahitimisha uhai wa siku 90 za Bunge la Katiba ambalo lilianza vikao vyake Februari 18 hadi Aprili 25, mwaka huu kwa kupisha vikao vya Bunge la Bajeti.

Awamu ya pili ya uhai wa Bunge...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ulinzi waimarishwa Nairobi

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Fransisko anatarajiwa kuwasili hapa leo j

Paul Sarwatt

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulinzi waimarishwa Brussels

Ubelgiji imewakamata watu 16 katika operesheni ya polisi kupambana na ugaidi mjini Brussels.

 

10 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa kwa Magufuli

>Saa chache baada ya Dk John Magufuli kutangazwa kuwa mteule wa CCM kuwania urais, ulinzi umeimarishwa kwa mgombea mwenyewe, nyumbani kwake eneo la Ada Estate, Dar es Salaam na jimboni Chato mkoani Geita.

 

10 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa mara dufu bungeni

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuleta kiwewe ndani ya Bunge la Katiba ambako sasa ulinzi umeonekana kuongezwa mara dufu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi waimarishwa Viwanja vya Sabasaba

Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.

 

10 years ago

Vijimambo

ULINZI WAIMARISHWA NDANI YA JIJI LA WASILO LALA NEW YORK CITY WIKI ENDI HII YA 4TH JULY


Hapa ni polisi akimpatia maelekezo wapi kwa kupita msafiri katika kituo kikubwa cha mabasi cha Port Authority New York City.Hapa ni Times Square sehemu maarufu sana ukifika New York City.Njemba zimesimama zikipanga mikakati ya jinsi ya kujipanga sehemu yao ya kazi.Polisi wakipeana majukumu tayari kuingia mzigoni.Kikosi maalumu cha Federal Emergency tayari kwa kukabiriana na lolote ndani ya 4th july wiki endi hii.

 

10 years ago

Vijimambo

RPC DODOMA ONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime - SACP akitoa elimu juu ya hali ya ulinzi na usalama na matishio ya kiuhalifu katika kikao kilichojumuisha wakuu wa vyombo vya dola Mkoa wa Dodoma, viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa diniBalozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma  akiongea jambo wakati wa utoaji elimu iliyotolewa kwa viongozi wa mkoa wa Dodoma ili kuhimarisha ushirikiano na kuondoa machafuko ambayo yanaweza kutokea.
 Padre...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP David Misime akitoa elimu katika mkutano huo.Balozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma akiongea jambo.Padre Thomas V. Lali Katibu Mkuu jimbo kuu Dodoma akizungumza katika mkutano huo.
Sheke AHMAD SAID akizungumza katika mkutano huo.
  Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yawahakikishia ulinzi wakazi Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeJESHI la Polisi mkoani Dodoma, limewahakikishia wananchi wake kuwa litaimarisha ulinzi katika maeneo yote, na kutaka wananchi kuwa makini na kuzingatia sheria za usalama barabarani wakati wa Sikukuu ya Pasaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani