Rais Magufuli aimarishiwe ulinzi
“Hotuba hii ya Rais Magufuli ni moja ya hotuba bora kabisa katika historia ya siasa za Tanzania.”
Evarist Chahali
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
5 years ago
Michuzi
RAIS MAGUFULI AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. CHATO MKOANI GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Mabula Daudi Mchembe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto . Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Aprili 22, 2020.

10 years ago
Mwananchi13 Jul
Ulinzi waimarishwa kwa Magufuli
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Polisi waimarisha ulinzi kuapishwa Dk. Magufuli
VERONICA ROMWALD NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi limesema limeimarisha ulinzi kesho wakati wa kuapishwa Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli.
Sherehe za kuapishwa Dk. Mgufuli zitafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuhudhuria.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Oparesheni Maalumu wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, alisema ni marufuku kwa wananchi kushiriki...
10 years ago
Michuzi
NITABORESHA MASLAHI YA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA-MAGUFULI

Dkt Magufuli alisema kuwa anataka kuona watumishi wa jeshi hilo wanakuwa na mishahara mizuri na hiyo itawezesha kufanya kazi ya ulinzi na usalama wa nchi kwa ufanisi zaidi...
5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.

11 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama
WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Usimamizi na ulinzi wa rasilimali za Taifa uwe ajenda ya Rais ajaye
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGWA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA LEO