Mechi nane za EPL kuchezwa jumamosi
,Arsenal itakuwa ugenini West Bromwich,Liverpool ikipimana nguvu na Stoke City nayo Manchester ikiialika Hull City.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini
Mpango wa Ligi ya Uingereza kuchezesha mechi kadhaa katika nchi za kigeni huenda ukapata upinzani mkali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*AkrMLjZfhGcWkTqgXmWHmhRcdKAoMeWuWDLP13ZMpVgJNULB6Wnfy5nJuk*f0EWyTnzFZStR1ha55q*6vCvwxA/arsenalvsmancity.jpg)
EPL MECHI ZA JUMAMOSI YA LEO
Mechi za leo Septemba 13, 2014
 8:45 Mchana   Arsenal v Man City -   Emirates Stadium         Â
 11:00 Jioni    Chelsea v Swansea -   Stamford Bridge       Â
 11:00 Jioni Crystal Palace v Burnley -Selhurst Park       Â
 11:00 Jioni  Southampton v Newcastle - St. Mary's...
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
RIPOTI ZA MECHI ZA LIGI YA EPL JUMAMOSI
Everton inachuana na Chelsea,Arsenal ikikabiliana na Stoke nayo Manchester United ikiialika Liverpool katika uwanja wa Old Trafford.
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
MOJA KWA MOJA: MECHI ZA EPL JUMAMOSI
Klabu ya Chelsea leo imo ugenini West Ham ikijaribu kufufua kampeni yake Ligi ya Premia msimu huu baada ya kuandikisha matokeo yasiyo ya kuridhisha tangu mwanzo wa msimu.
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
MOJA KWA MOJA EPL: MECHI ZA JUMAMOSI
Chelsea leo wako nyumbani dhidi ya Liverpool katika Ligi ya Premia kwenye mechi ambayo wengi wanaamini huenda ikaamua hatima ya Meneja wa Chelsea Jose Mourinho.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu
Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s72-c/VPL1.png)
MECHI YA JKT RUVU, SHOOTING KUCHEZWA USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s1600/VPL1.png)
Timu hizo zitapambana kuanzia saa 1 kamili usiku katika mechi hiyo itakayoonyeshwa moja kwa moja (live) na Azam Tv.
Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 3,000 kwa jukwaa la kawaida na sh. 5,000 kwa upande wa jukwaa la VIP.
Tiketi za kushuhudia mechi hiyo ambazo ni za elektoniki tayari...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s640/ADDD.png)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
10 years ago
Bongo517 Jul
Mechi ya kwanza ya NBA kuwahi kuchezwa Afrika kufanyika Aug. 1 Johannesburg
Mechi ya kwanza ya NBA itachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza August 1 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mechi hiyo itawakutanisha wachezaji wa NBA waliozaliwa Afrika, Team Africa dhidi ya wengine wa Team World. Mchezaji anayechezea Miami Heat, Luol Deng aliyezaliwa Sudan ataiongoza Team Africa. “Ninajivunia sana kuwa sehemu ya mechi ya kwanza ya NBA […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania