Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu
Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kilimanjaro yavunja rekodi ya 1995
Mkoa wa Kilimanjaro, umevunja rekodi ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 baada ya upinzani kunyakua majimbo saba kati ya majimbo tisa.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'
Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 za mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa
9 years ago
Bongo503 Nov
‘Hello’ ya Adele yavunja rekodi nyingine ya Billboard
Mwimbaji wa Uingereza, Adele anaendelea kuweka historia kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’. Ikiwa ni wiki moja na siku nne toka ‘Hello’ iachiwe rasmi Oct.23, wimbo huo umeweka rekodi nyingine. Wimbo huo umevunja rekodi ya Billboard kwa kupakuliwa mara milioni 1.1, na kuwa ndio wimbo uliopata downloads nyingi zaidi ndani ya wiki moja. Rekodi hiyo hapo […]
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kuzuia matukio ya ujauzito kwa watoto wa kike hali si ya kuridhisha.
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mechi nane za EPL kuchezwa jumamosi
,Arsenal itakuwa ugenini West Bromwich,Liverpool ikipimana nguvu na Stoke City nayo Manchester ikiialika Hull City.
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ndege inayotumia nguvu za jua yavunja rekodi
Ndege inayotumia umeme wa jua imetua mjini Hawaii baada ya kuweka historia ya kuruka kilomita 7,200 katika eneo la pacific kutoka Japan.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Kili Music Tour Songea yavunja rekodi
ZIARA ya muziki ya Kili (Kili Music Tour), imeacha gumzo mjini Songea mkoani Ruvuma na kuweka rekodi ya tamasha lililohudhuriwa na watu wengi mjini hapa na iliyobeba wasanii wenye majina...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Filamu mpya ya Stars Wars yavunja rekodi
Filamu mpya ya Star Wars: The Force Awakens imevunja rekodi Uingereza kwa kuuza tikezi nyingi zaidi siku ya kwanza ya uuzaji tiketi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania