Mechi ya kwanza ya NBA kuwahi kuchezwa Afrika kufanyika Aug. 1 Johannesburg
Mechi ya kwanza ya NBA itachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza August 1 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mechi hiyo itawakutanisha wachezaji wa NBA waliozaliwa Afrika, Team Africa dhidi ya wengine wa Team World. Mchezaji anayechezea Miami Heat, Luol Deng aliyezaliwa Sudan ataiongoza Team Africa. “Ninajivunia sana kuwa sehemu ya mechi ya kwanza ya NBA […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
GIVEMESPORT21 Mar
NBA News: NBA launches global campaign 'NBA Together' in response to Coronavirus pandemic
NBA News: NBA launches global campaign 'NBA Together' in response to Coronavirus pandemic GIVEMESPORTNBA launches global 'NBA Together' campaign in response to Coronavirus pandemic NBA.comOne man band entertains neighbors during coronavirus pandemic KING 5NBA launches ‘NBA Together’ campaign in response to coronavirus pandemic ClutchPointsAthletes adjust to new life during the coronavirus pandemic CityNews TorontoView Full coverage on Google...
9 years ago
Bongo501 Oct
Tamasha la BET Experience kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwezi wa 12
Lile tamasha kubwa la BET Experience ambalo hufanyika L.A, Marekani wakati wa sherehe za utoaji wa tuzo za BET, linatarajiwa kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwaka huu na kuitwa BET Experience Africa. Tamasha la BET Experience Africa ambalo litajumuisha burudani za aina mbalimbali ikiwemo muziki, comedy, mitindo, na mambo mengine mengi limepagwa kufanyika Desemba […]
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mechi nane za EPL kuchezwa jumamosi
,Arsenal itakuwa ugenini West Bromwich,Liverpool ikipimana nguvu na Stoke City nayo Manchester ikiialika Hull City.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s72-c/VPL1.png)
MECHI YA JKT RUVU, SHOOTING KUCHEZWA USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s1600/VPL1.png)
Timu hizo zitapambana kuanzia saa 1 kamili usiku katika mechi hiyo itakayoonyeshwa moja kwa moja (live) na Azam Tv.
Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 3,000 kwa jukwaa la kawaida na sh. 5,000 kwa upande wa jukwaa la VIP.
Tiketi za kushuhudia mechi hiyo ambazo ni za elektoniki tayari...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini
Mpango wa Ligi ya Uingereza kuchezesha mechi kadhaa katika nchi za kigeni huenda ukapata upinzani mkali.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu
Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s640/ADDD.png)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s72-c/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s640/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KJHI7u4jbRI/VOhDzRT4EgI/AAAAAAAHE50/dE67VTVNFfQ/s72-c/download.jpg)
FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI
Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL), inatarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Awali mchezo huo wa fainali ulikuwa umepangwa kufanyika kesho kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, lakini kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TTF imepelekea mchezo huo kuhamishiwa Chamazi.
Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...
![](http://1.bp.blogspot.com/-KJHI7u4jbRI/VOhDzRT4EgI/AAAAAAAHE50/dE67VTVNFfQ/s1600/download.jpg)
Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania