Tamasha la BET Experience kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwezi wa 12
Lile tamasha kubwa la BET Experience ambalo hufanyika L.A, Marekani wakati wa sherehe za utoaji wa tuzo za BET, linatarajiwa kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwaka huu na kuitwa BET Experience Africa. Tamasha la BET Experience Africa ambalo litajumuisha burudani za aina mbalimbali ikiwemo muziki, comedy, mitindo, na mambo mengine mengi limepagwa kufanyika Desemba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Nov
Young Thug kuungana na Diamond, Tamar Braxton, Maxwell na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’
![thug](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/thug-300x194.png)
BET wamemwongeza rapper Young Thug wa Marekani, kwenye orodha ndefu ya wasanii wa kimataifa na kutoka Afrika watakaotumbuiza kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’ lililopangwa kufanyika December 12, jijini Johannesburg, Afrika kusini.
Rapper huyo ataungana na wasanii wengine waliokuwa tayari wametangazwa kutumbuiza akiwemo Diamond Platnumz, Tamar Braxton, Maxwell, Flavour na Aka.
Diamond ndiye msanii pekee wa Afrika mashariki aliyetajwa kutumbuiza kwenye tamasha hilo hadi sasa. ...
9 years ago
Bongo527 Nov
Mary J. Blige aungana na Diamond, Young Thug, AKA, Flavour na wengine kwenye tamasha la ‘BET Experience Africa’
![mary J](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mary-J-300x194.jpg)
Orodha ya wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza kwenye tamasha la la BET Experience Africa linalotarajiwa kufanyika December 12, 2015 jijini Johannesburg, Afrika Kusini inazidi kuongezeka.
Muimbaji mkongwe wa Rnb na mshindi wa tuzo ya Grammy, Mary J Blige kutoka Marekani metangazwa kuungana na wasanii wengine waliokuwa wameishatajwa akiwemo staa wetu Diamond Platnumz.
Miongoni mwa hit songs za Mary J. Blige ni pamoja na ‘Family Affair’, ‘No More Drama’ pamoja na ‘Be Without You’.
Wasanii...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
10 years ago
Bongo517 Jul
Mechi ya kwanza ya NBA kuwahi kuchezwa Afrika kufanyika Aug. 1 Johannesburg
9 years ago
Bongo510 Dec
Top Comedian Churchill and Diamond to represent East Africa in BET Experience
![churchill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/churchill-300x194.jpg)
The festive season gets started with music, comedy, fashion, fun and car shows at the inaugural Black Entertainment Television (BET) Experience Africa. BET is a US Festival concept, combining a variety of shows and activities that are held at the same place at the same time.
Daniel “Churchill” Ndambuki
The event will be held at the Ticket Pro Dome in Northgate, on December 12 that is this coming Saturday. Alex Okosi, the local MD of Viacom Entertainment in Africa, says: “We chose SA because...