EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini
Mpango wa Ligi ya Uingereza kuchezesha mechi kadhaa katika nchi za kigeni huenda ukapata upinzani mkali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mechi nane za EPL kuchezwa jumamosi
,Arsenal itakuwa ugenini West Bromwich,Liverpool ikipimana nguvu na Stoke City nayo Manchester ikiialika Hull City.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
Kwa kuzingatia marekebisho ya Kanuni ya Ligi Daraja la Pili (SDL) yaliyofanywa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni, SDL kwa msimu wa 2015/2016 itachezwa katika makundi manne ya timu sita sita kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Oct
Pluijm apania mechi za ugenini
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kushinda mechi za ugenini kutawasaidia kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu
Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s72-c/VPL1.png)
MECHI YA JKT RUVU, SHOOTING KUCHEZWA USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLW8BYtho5g/VJ1SYHNftKI/AAAAAAAG54c/RWuIvaZwNPM/s1600/VPL1.png)
Timu hizo zitapambana kuanzia saa 1 kamili usiku katika mechi hiyo itakayoonyeshwa moja kwa moja (live) na Azam Tv.
Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 3,000 kwa jukwaa la kawaida na sh. 5,000 kwa upande wa jukwaa la VIP.
Tiketi za kushuhudia mechi hiyo ambazo ni za elektoniki tayari...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s640/ADDD.png)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
10 years ago
Bongo517 Jul
Mechi ya kwanza ya NBA kuwahi kuchezwa Afrika kufanyika Aug. 1 Johannesburg
Mechi ya kwanza ya NBA itachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza August 1 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mechi hiyo itawakutanisha wachezaji wa NBA waliozaliwa Afrika, Team Africa dhidi ya wengine wa Team World. Mchezaji anayechezea Miami Heat, Luol Deng aliyezaliwa Sudan ataiongoza Team Africa. “Ninajivunia sana kuwa sehemu ya mechi ya kwanza ya NBA […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1*LDnBXSkgUA*gOohSJt8jt8m6t3V6zSGiflpmfutFfJrwAF-iGCN3hq6r1qvyjWhvjnYw5etYzKGTS7lUWl0E/CHELSEA.jpg?width=650)
EPL: MECHI ZA LEO
West Brom v Man Utd (9:45 Alasiri)
Cardiff v Fulham (12:00 Jioni)
Crystal Palace v Southampton (12:00 JioniT)
Norwich v Stoke (12:00 Jioni)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*AkrMLjZfhGcWkTqgXmWHmhRcdKAoMeWuWDLP13ZMpVgJNULB6Wnfy5nJuk*f0EWyTnzFZStR1ha55q*6vCvwxA/arsenalvsmancity.jpg)
EPL MECHI ZA JUMAMOSI YA LEO
Mechi za leo Septemba 13, 2014
 8:45 Mchana   Arsenal v Man City -   Emirates Stadium         Â
 11:00 Jioni    Chelsea v Swansea -   Stamford Bridge       Â
 11:00 Jioni Crystal Palace v Burnley -Selhurst Park       Â
 11:00 Jioni  Southampton v Newcastle - St. Mary's...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania