Pluijm apania mechi za ugenini
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kushinda mechi za ugenini kutawasaidia kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Pluijm agomea mechi Yanga
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, raia wa Uholanzi, amegoma kucheza mechi za kirafiki kwa ajili ya kujipima nguvu hadi nyota wake watakaporejea kutoka kwenye timu zao za Taifa ambazo wamekwenda kuzichezea.
Kocha huyo, ambaye hajafungwa mechi hata moja ya kirafiki, inawezekana hataki kuivuruga rekodi hiyo kutokana na kuwakosa nyota hao, ambao wamekuwa chachu ya ushindi kwenye kikosi hicho ambacho kilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania msimu...
11 years ago
GPLSHILOLE: YEMI ATAFIA UGENINI
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
sheria ya magoli ya ugenini irekebishwe
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Arsenal, Real Madrid zaumia ugenini
11 years ago
BBCSwahili02 May
Vita vya ndugu kupiganiwa ugenini
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Wasaka ajira ugenini kuweni makini-IOM
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...