sheria ya magoli ya ugenini irekebishwe
Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema sheria ya mabao ya ugenini inapaswa kutumika baada ya muda wa nyongeza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Apr
Askofu ataka Katiba ya Zanzibar irekebishwe
ASKOFU wa Jimbo Teule la Dodoma la Kanisa la Methodist, Joseph Bundala amesema ili kudumisha Muungano ni vyema Katiba ya Zanzibar irekebishwe.
9 years ago
Habarileo28 Oct
Pluijm apania mechi za ugenini
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kushinda mechi za ugenini kutawasaidia kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jw7q-MUd1KjhDe0gVtNU-3EKx-AGJ0x7CsQJb9Ox6PUb2tC2Wm4WClePGfWnY8P3sNK4PfYW-CdodztuNlTB5zr/tamasha.jpg)
SHILOLE: YEMI ATAFIA UGENINI
IKIWA imesalia siku moja kuelekea Tamasha la Usiku wa Matumaini, Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa, diva kunako muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametupa kijembe kwa staa wa Nigeria aliyekuja kukinukisha Bongo, Yemi Alade kuwa amekuja kufia ugenini. Diva kunako muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na Risasi Vibes, Shilole anayetamba na ngoma ya Namchukua, alijibu tambo za Yemi...
11 years ago
BBCSwahili02 May
Vita vya ndugu kupiganiwa ugenini
Timu tatu za Hispania zimefanikiwa kucheza fainali mbili tofauti za mashindano barani Ulaya mwaka 2014.
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Arsenal, Real Madrid zaumia ugenini
London, England. Mechi za majirani au ‘derby’, jana zilimalizika kwa Arsenal na Real Madrid kufungwa na Tottenham na Atletico Madrid.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Wasaka ajira ugenini kuweni makini-IOM
Shirika la Kimataifa la Wahamiaji (IOM), limewaonya watu wanaopenda kwenda kufanya kazi katika nchi nyingine, dhidi ya ongezeko la mashirika yanayosafirisha binadamu kwa kivuli cha kutoa misaada ya kibinadamu.
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
EPL yataka mechi zake kuchezwa ugenini
Mpango wa Ligi ya Uingereza kuchezesha mechi kadhaa katika nchi za kigeni huenda ukapata upinzani mkali.
10 years ago
Vijimambo18 Apr
SIMBA YAGEUZWA KINCHENCHEDE NA MBEYA CITY NYUMBANI NA UGENINI.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/000000000000000000000.jpg)
wachezaji wa mbeya city wakishangilia ushindi dhidi ya simba 2-0 leo mbeya katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika mbeya leo Timu ya Azam imeshinda leo.
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/OMOG.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania