SIMBA YAGEUZWA KINCHENCHEDE NA MBEYA CITY NYUMBANI NA UGENINI.
wachezaji wa mbeya city wakishangilia ushindi dhidi ya simba 2-0 leo mbeya katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika mbeya leo Timu ya Azam imeshinda leo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Simba, Mbeya City vitani
Mbeya City wataishusha Yanga katika nafasi ya pili kama wataibuka na ushindi leo dhidi ya Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, huku Simba wakiwa na kibarua kizito mbele ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba.
10 years ago
TheCitizen28 Jan
Mbeya City go into Simba’s den
Simba SC face another test today when they welcome struggling Mbeya City for a Vodacom Premier League match at the National Stadium.
10 years ago
Mwananchi17 May
Simba kuibomoa Mbeya City
Dar es Salaam. Simba imepanga kuibomoa Mbeya City baada ya kuanza harakati za kuwawania winga Deus Kaseke, beki Kenny Ally na mshambuliaji Paul Nonga wa timu hiyo.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbeya City kuishtaki Simba
>Wakati Simba ikibainika kumsajili kinyemela Saad Kipanga, Mbeya City imedai suala la mshambuliaji huyo litawafanya “kufikishana pabayaâ€.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH2PsJqpXJ7ZNPX8OZS-nkSoNO1IPoQdKK7ae1V5TWdq1RQiyAhdXpipJFIiIamz6iymq5tF6thFWnQsy6W9Ghj7/SIMBA.gif?width=650)
Simba, Mbeya City watwangana makonde
Na Richard Bukos, Mbeya
MABAUNSA wa Mbeya City na wa Simba, juzi Jumamosi walizichapa kavukavu kwenye mlango wa kubadilishia nguo wachezaji, baada ya Mbeya City kuwatuhumu Simba kufanya ushirikina kwa kumwaga dawa kwenye mlango wa kuingilia vyumbani. Katika sakata hilo lililotokea kwenye Uwanja wa Sokoine jijini hapa katika mtanange wa Ligi Kuu Bara ulioisha kwa sare ya 1-1, mama mmoja mtu mzima… ...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Simba, Mbeya City zavunja rekodi
PAMBANO la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), kati ya wenyeji Mbeya City na Wekundu wa Msimbazi, Simba lililopigwa juzi Uwanja wa Sokoine, limevunja rekodi ya mapato baada ya kuingiza sh...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Mbeya City yapaa, Simba mdebwedo
>Mgambo Shooting imeiduwaza Simba kwa kuichapa bao 1-0 mjini Tanga, huku Mbeya City wakirudi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu bara baada ya kuichapa Mtibwa Sugar 2-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania