Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kuibomoa Mbeya City

Dar es Salaam. Simba imepanga kuibomoa Mbeya City baada ya kuanza harakati za kuwawania winga Deus Kaseke, beki Kenny Ally na mshambuliaji Paul Nonga wa timu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City kuishtaki Simba

>Wakati Simba ikibainika kumsajili kinyemela  Saad Kipanga, Mbeya City imedai suala la mshambuliaji huyo litawafanya “kufikishana pabaya”.

 

10 years ago

TheCitizen

Mbeya City go into Simba’s den

Simba SC face another test today when they welcome struggling Mbeya City for a Vodacom Premier League match at the National Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Mbeya City vitani

Mbeya City wataishusha Yanga katika nafasi ya pili kama wataibuka na ushindi leo dhidi ya Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, huku Simba wakiwa na kibarua kizito mbele ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba, Mbeya City battle for third spot

An arduous task awaits relegation-haunted Mgambo JKT when they take on in-form Simba in the Vodacom Premier League at the Mkwakwani Stadium in Tanga this afternoon.

 

10 years ago

GPL

Mbeya City yamtimua kocha Simba

Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, ameomba kuondoka klabuni hapo ikiwa ni siku chache tangu timu hiyo ilipofungwa na Mbeya City mabao 2-1 katika Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Matola ambaye alianza kuifundisha timu hiyo msimu uliopita akisaidiana na aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Zdravko Logarusic, ameomba kuondoka baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Mbeya City cage toothless Simba

Mbeya City recovered from a goal down to beat Simba SC 2-1 at the National Stadium yesterday.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yapaa, Simba mdebwedo

>Mgambo Shooting imeiduwaza Simba kwa kuichapa bao 1-0 mjini Tanga, huku Mbeya City wakirudi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu bara baada ya kuichapa Mtibwa Sugar 2-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani