Simba, Mbeya City zavunja rekodi
PAMBANO la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), kati ya wenyeji Mbeya City na Wekundu wa Msimbazi, Simba lililopigwa juzi Uwanja wa Sokoine, limevunja rekodi ya mapato baada ya kuingiza sh...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo16 Aug
YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11863434_732791986867181_7612666654763943644_n1.jpg)
Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbeya City kuishtaki Simba
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Simba, Mbeya City vitani
10 years ago
TheCitizen28 Jan
Mbeya City go into Simba’s den
10 years ago
Mwananchi17 May
Simba kuibomoa Mbeya City
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Mbeya City sasa yaipania Simba
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Simba yajipanga kuiua Mbeya City
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeanza kuipigia hesabu Mbeya City wanayotarajia kucheza nayo Oktoba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, wekundu hao wamedai kuwa ili kuzoa pointi zote tatu wamepanga kufika mapema mkoani humo.
Wachezaji wa Simba ambao hawamo kwenye timu za Taifa, wanatarajia kuanza tena mazoezi leo baada ya mapumziko ya siku mbili, tayari kabisa kujiandaa na mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Msimu uliopita Simba iliambulia patupu mbele ya...