Taswa FC hoi kwa NSSF
TIMU ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Taswa FC imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kulala kwa mabao 2-1 katika mchezo maalumu wa kuadhimisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
TASWA Dar hoi Tamasha la Waandishi Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
Kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KYReZg6TQpw/VeQcr1TxESI/AAAAAAAAPd8/jH-c9sHwR70/s640/IMG_20150829_173251.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kW-Ad1uRreM/VeQc7rfmWVI/AAAAAAAAPeE/W-O2GR8HAJM/s640/IMG_20150829_115708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNBgNpdUrrM/VeQdPIFhErI/AAAAAAAAPeM/EzHdEvM2fV8/s640/IMG_20150829_115720.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jfLDZORcJvM/VeQdo3OdqJI/AAAAAAAAPeU/4iniHINmrEU/s640/DSC00264.jpg)
Siku moja kabla ya bonanza waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha walipata fursa ya kutembelea kiwanda cha bia ya TBL Arusha hapa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo akiwa anawapa maelekezo ya jinsi kiwanda hicho kinavyoweza kufanya kazi ya kutengeneza bia kwa kutumia mashine na kompyuta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-H94D2DsSF3c/VeQd-KqSigI/AAAAAAAAPec/jKDml_0ogqo/s640/DSC00237.jpg)
Woinde Shizza (wa pili kushoto) nikiwa na waandishi wa habari wakongwe mara baada tu ya kuwasili ndani ya kiwanda...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s72-c/IMG_20150829_174251.jpg)
TASWA DAR HOI TAMASHA LA WAANDISHI JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U0dIoQ8H-pI/VeQfd6J_XxI/AAAAAAAAPe8/9db3ZK4lc8w/s640/IMG_20150829_162009_1.jpg)
Na Woinde shizza,ArushaTIMU ya soka ya chuo cha uandishi wa habari Arusha(AJTC) juzi walitwaa ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
NSSF, Msama wapiga ‘tafu’ mkutano wa Taswa
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi
![12237221_1669908713222926_427056748_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237221_1669908713222926_427056748_n-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...