NSSF, Msama wapiga ‘tafu’ mkutano wa Taswa
Kampuni ya CXC, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na waandaaji wa Tamasha la Pasaka wamejitosa kupiga tafu Mkutano Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa) utakaofanyika kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMSAMA AWAPIGA TAFU YATIMA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s72-c/unnamed+(48).jpg)
Benki ya Posta yaipiga tafu Taswa SC
![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWBIUksYAy4/U-IOPi0yG2I/AAAAAAAF9ik/V8tP2G0QEFc/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DbDEjKo0OeU/U3iwhreU7cI/AAAAAAAFjhk/dc4EH8VX-ZY/s72-c/1.jpg)
Rangers Bureau de change yaipiga tafu Taswa FC
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbDEjKo0OeU/U3iwhreU7cI/AAAAAAAFjhk/dc4EH8VX-ZY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G6Y1bE9O1KA/U3iwkUXWGlI/AAAAAAAFjhw/ACk9qvsoluk/s1600/4.jpg)
Duka la kubadilishia fedha za kigeni la Rangers Bureau De Change lililopo Magomeni Mapipa, limetoa msaada wa jezi kwa timu ya soka ya Waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Times, Help2Kids wapiga tafu shule
RADIO Times FM kwa kushirikiana na mashirika ya Help2Kids, mwishoni mwa wiki ilitoa misaada mbalimbali katika Shule ya Msingi Wamato iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam kupitia programu yake ya...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Taswa FC hoi kwa NSSF
TIMU ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Taswa FC imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kulala kwa mabao 2-1 katika mchezo maalumu wa kuadhimisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B5ERI7OAy10/U1u1CLHhiCI/AAAAAAAFdKA/lhIqj63XM0I/s72-c/TASWALOGO.jpg)
TASWA KUSHIRIKI MKUTANO WA 77 WA AIPS JIJINI BAKU,AZERBAIJAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-B5ERI7OAy10/U1u1CLHhiCI/AAAAAAAFdKA/lhIqj63XM0I/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mkutano huo wa kawaida wa mwaka utashirikisha viongozi wa vyama vya waandishi wa habari za michezo zaidi ya 150 duniani ambao ni wanachama wa AIPS na pia kutafanyika mikutano ya mabara ya vyama vya waandishi wa habari za michezo, ambao...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Ov7a-yrWBB8/VUS02RN-DDI/AAAAAAAC364/H6k95Dq_3xM/s1600/NSSF%2BStakeholders%2BAd%2BSw%2BBlogs%2B052015.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Pinda afungua mkutano wa tano wa wadau wa NSSF
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa tano wa wadau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Juni 2, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Tibenda, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ,Dr. Ramadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Abubakari Rajab. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa tano wa Mfuko wa hifadhi ya jamii, NSSF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati...