Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWA KUSHIRIKI MKUTANO WA 77 WA AIPS JIJINI BAKU,AZERBAIJAN

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kinatarajia kushiriki kwenye Mkutano Mkuu wa 77 wa Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS) unaotarajiwa kuanza kesho (Jumapili) jijini Baku, Azerbaijan hadi Mei mosi mwaka huu.
Mkutano huo wa kawaida wa mwaka utashirikisha viongozi wa  vyama vya waandishi wa habari za michezo zaidi ya 150 duniani ambao ni wanachama wa AIPS na pia kutafanyika mikutano ya mabara ya vyama vya waandishi wa habari za michezo, ambao...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

News.Az

AIPS Europe holds conference in Baku


News.Az
AIPS Europe holds conference in Baku
News.Az
A conference of AIPS Europe has taken place in the Azerbaijani capital of Baku as part of the 77th Annual Congress of the International Sport Press Association (AIPS). AIPS president Gianni Merlo provided an insight into the agenda of the Congress. He said ...
Taswa for AIPS conventionIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Dewji Blog

Africa’s Regional Network for Youth Policies Experts launched at the First Global Forum on Youth Policies on Baku, Azerbaijan

Invest in Youth Logo

Africa made history during the closing session of the just concluded First Global Forum on  Youth Policies, held in Baku, Azerbaijan by announcing the birth of African Network of Youth  Policy Experts (AfriNYPE) to advance the cause of youth policies in the region.

The network was announced at the closing plenary session attended by over 700 invited delegates constituting of experts, researchers, professors, government representatives across the world, and the United Nations...

 

10 years ago

Vijimambo

AFRICA’S REGIONAL NETWORK FOR YOUTH POLICIES EXPERTS LAUNCHED AT THE FIRST GLOBAL FORUM ON YOUTH POLICIES ON BAKU, AZERBAIJAN.

Invest in Youth LogoAfrica made history during the closing session of the just concluded First Global Forum on Youth Policies, held in Baku, Azerbaijan by announcing the birth of African Network of Youth Policy Experts (AfriNYPE) to advance the cause of youth policies in the region.The network was announced at the closing plenary session attended by over 700 invited delegates constituting of experts, researchers, professors, government representatives across the world, and the United Nations...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kagame awasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akisalimiana na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Kagame yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Rais Kagame akipokea shada la maua kutoka kwa mtoto Elizabeth Jackson kama ishara ya...

 

11 years ago

Mwananchi

NSSF, Msama wapiga ‘tafu’ mkutano wa Taswa

Kampuni ya CXC, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na waandaaji wa Tamasha la Pasaka wamejitosa kupiga tafu Mkutano Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa) utakaofanyika kesho.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda kushiriki mkutano Dart

MKUTANO wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia

WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...

 

10 years ago

Dewji Blog

MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais

IMG_4146

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

IMG_4126

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani