TASWA KUSHIRIKI MKUTANO WA 77 WA AIPS JIJINI BAKU,AZERBAIJAN

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kinatarajia kushiriki kwenye Mkutano Mkuu wa 77 wa Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS) unaotarajiwa kuanza kesho (Jumapili) jijini Baku, Azerbaijan hadi Mei mosi mwaka huu.
Mkutano huo wa kawaida wa mwaka utashirikisha viongozi wa vyama vya waandishi wa habari za michezo zaidi ya 150 duniani ambao ni wanachama wa AIPS na pia kutafanyika mikutano ya mabara ya vyama vya waandishi wa habari za michezo, ambao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
News.Az28 Apr
AIPS Europe holds conference in Baku
News.Az
News.Az
A conference of AIPS Europe has taken place in the Azerbaijani capital of Baku as part of the 77th Annual Congress of the International Sport Press Association (AIPS). AIPS president Gianni Merlo provided an insight into the agenda of the Congress. He said ...
Taswa for AIPS conventionIPPmedia
all 2
10 years ago
Dewji Blog12 Nov
Africa’s Regional Network for Youth Policies Experts launched at the First Global Forum on Youth Policies on Baku, Azerbaijan
Africa made history during the closing session of the just concluded First Global Forum on Youth Policies, held in Baku, Azerbaijan by announcing the birth of African Network of Youth Policy Experts (AfriNYPE) to advance the cause of youth policies in the region.
The network was announced at the closing plenary session attended by over 700 invited delegates constituting of experts, researchers, professors, government representatives across the world, and the United Nations...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
AFRICA’S REGIONAL NETWORK FOR YOUTH POLICIES EXPERTS LAUNCHED AT THE FIRST GLOBAL FORUM ON YOUTH POLICIES ON BAKU, AZERBAIJAN.

10 years ago
Michuzi26 Mar
Rais Kagame awasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati
11 years ago
Mwananchi01 Mar
NSSF, Msama wapiga ‘tafu’ mkutano wa Taswa
11 years ago
Habarileo03 Jun
Pinda kushiriki mkutano Dart
MKUTANO wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...