Pinda kushiriki mkutano Dart
MKUTANO wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Pinda mgeni rasmi mkutano DART
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaoanza leo. Mkutano huo wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s72-c/657998666.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s1600/657998666.jpg)
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3xMaeseCkk/U3hok52ivPI/AAAAAAAFjZ8/VF0VteAcRAo/s72-c/unnamed+(26).jpg)
mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) waja
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3xMaeseCkk/U3hok52ivPI/AAAAAAAFjZ8/VF0VteAcRAo/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
10 years ago
MichuziPINDA, MANGULA NA KINANA WAWASILI SONGEA KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Mizengo Pinda aimiza Wabunge kushiriki mazoezi na michezo kulinda afya zao
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwapongeza wachezaji wa timu za Bunge la Jamuhuri kwenye tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 katika majengo ya Bunge hilo Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda aliwapongeza wanamichezo wa Timu za Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuliletea sifa kubwa Bunge hilo kwenye mashindano ya michezo mbali mbali ya Kitaifa na Kimataifa.
Mh. Pinda alitoa pongezi hizo katika Tafrija maalum ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bq1gBsY4ed8/Xru3keXLrcI/AAAAAAAC9Gc/mh2Lo0n-gkUXtu-kkUNQFoxvx3ViaweSACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0014.jpg)
Wanamuziki wa Kiafrika waombwa kushiriki kwenye Mkutano wa ACCES
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bq1gBsY4ed8/Xru3keXLrcI/AAAAAAAC9Gc/mh2Lo0n-gkUXtu-kkUNQFoxvx3ViaweSACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0014.jpg)
Mkurugenzi wa Music In Africa, Eddie Hatitye, anasema nafasi za upendeleo zitatolewa zaidi kwa bendi na wanamuziki wa Kitanzania kama washiriki wenyeji ili kuonesha ubora wa muziki wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B5ERI7OAy10/U1u1CLHhiCI/AAAAAAAFdKA/lhIqj63XM0I/s72-c/TASWALOGO.jpg)
TASWA KUSHIRIKI MKUTANO WA 77 WA AIPS JIJINI BAKU,AZERBAIJAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-B5ERI7OAy10/U1u1CLHhiCI/AAAAAAAFdKA/lhIqj63XM0I/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mkutano huo wa kawaida wa mwaka utashirikisha viongozi wa vyama vya waandishi wa habari za michezo zaidi ya 150 duniani ambao ni wanachama wa AIPS na pia kutafanyika mikutano ya mabara ya vyama vya waandishi wa habari za michezo, ambao...