Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda mgeni rasmi mkutano DART

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaoanza leo. Mkutano huo wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo

Waziri Mkuu Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano ya  uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) unaoanza leo.
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda mgeni rasmi mkutano Tatoa

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Malori (Tatoa) utakaofanyika kesho. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Tatoa, Elias...

 

11 years ago

Michuzi

Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza

Mama Tunu Pinda alikuwa Mgeni rasmi katika Mkutano cha akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza , Kilichoandaliwa na Kikundi cha Umoja wa Wanawake kiitwacho Tanzania Women Association UK (TAWA UK).
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda kushiriki mkutano Dart

MKUTANO wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

11 years ago

Michuzi

Pinda Mgeni Rasmi Mtwara Festival 2014

 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda  akiwa katika picha na Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa TACIN alipomtembelea  nyumbani kwake Oyserbay, Dar es Salaam, kumpa taarifa ya maendeleo ya maandalizi ya Mtwara Festival, itakayofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 katika viwanja vya Chuo Cha Ualimu Mtwara(TTC). Mh. Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa  Mgeni Rasmi wa Mtwara Festival, ambao ni mpango mkakati wa mawasiliano wa kuhamasisha wananchi wa mikoa ya Mtwara na Lindi, kizitambua fursa...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda mgeni rasmi Chuo cha Kodi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya saba ya Chuo cha Kodi(ITA) ambapo atatunuku vyeti, shahada na stashahada kwa wahitimu 564 waliofuzu katika kozi mbalimbali.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda mgeni rasmi Baraza la Idd el Fitri

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Idd-el-Fitri litakalofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

JK mgeni rasmi mkutano wa ALAT

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaokwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 30 ya jumuiya hiyo, kwa kupokea maandamano na pia kutoa tuzo kwa viongozi bora wa Serikali za Mitaa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda mgeni rasmi maonesho ya tafiti za taaluma UDSM

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika wiki ya maonesho ya tafiti za taaluma zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani