Pinda mgeni rasmi maonesho ya tafiti za taaluma UDSM
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika wiki ya maonesho ya tafiti za taaluma zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Pinda mgeni rasmi mkutano Tatoa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Malori (Tatoa) utakaofanyika kesho. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Tatoa, Elias...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Pinda mgeni rasmi mkutano DART
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaoanza leo. Mkutano huo wa...
10 years ago
Habarileo23 Jan
Pinda mgeni rasmi Chuo cha Kodi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya saba ya Chuo cha Kodi(ITA) ambapo atatunuku vyeti, shahada na stashahada kwa wahitimu 564 waliofuzu katika kozi mbalimbali.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JGQ-0v-byNA/U9m46j9RjgI/AAAAAAAF77E/vt_zexNjG28/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Pinda Mgeni Rasmi Mtwara Festival 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGQ-0v-byNA/U9m46j9RjgI/AAAAAAAF77E/vt_zexNjG28/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Habarileo26 Jul
Pinda mgeni rasmi Baraza la Idd el Fitri
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Idd-el-Fitri litakalofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziMH. PINDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA JUKWAA LA KILIMO
9 years ago
StarTV15 Nov
Wataalamu wa afya wahimizwa kutumia taaluma zao kwakufanya tafiti
Wataalamu wa Sekta ya afya nchini wanapaswa kutumia taaluma yao kutafiti na kugundua visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii hali itakayosaidia Serikali kukabiliana na magonjwa husika.
Tafiti zinaonyesha kuwa magonjwa mengi yamekuwa yakiikumba jamii kutokana na kukosekana kwa watalaamu wa kubaini visababishi vya maradhi hayo.
Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Sayansi ya tiba cha KCMU College kilichopo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro Prof.Elgibert Kessy anaona ipo haja kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
MH. PINDA MGENI RASMI JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-lcxoNDTxEmU/U7OwtSVB8fI/AAAAAAAFuJg/yAeq-VylWJE/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Pinda mgeni rasmi Jubilei ya Askofu Mkuu wa Iringa Ngalalekumtwa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Mhashamu Baba Askofu, Tarcisius Ngalalekumtwa (katikati) na Makamu wake, Mhashamu Baba Askofu Severini Niwemugizi katika misa ya Jubilei ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Mkuu Ngalalekumtwa iliyofanyika kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki jimbo Kuu la Iringa Julai 1, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).