JK mgeni rasmi mkutano wa ALAT
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaokwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 30 ya jumuiya hiyo, kwa kupokea maandamano na pia kutoa tuzo kwa viongozi bora wa Serikali za Mitaa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Pinda mgeni rasmi mkutano Tatoa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mkutano mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Malori (Tatoa) utakaofanyika kesho. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Tatoa, Elias...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Pinda mgeni rasmi mkutano DART
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaoanza leo. Mkutano huo wa...
10 years ago
VijimamboZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s72-c/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
MKUTANO NA TAMASHA LA CHAUKIDU... Mzee Ali Hassan Mwinyi Mgeni Rasmi
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411 (Tumaini),...
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Makamu wa Rais Dkt. Bilal Mgeni rasmi mkutano wa wanasayansi vijana duniani
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal.
Na Rose Masaka, MAELEZO
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal anatarajia kuwa mgeni rasmi wa kongamano la wanasayansi vijana duniani linalotajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 11 hadi 14 Agosti mwaka huu.
Lengo la kongamano hilo ni kubuni mikakati na mipango ya pamoja katika tansia ya jiolojia ya madini hususani maendeleo na usimamizi rasilimali hizo kwa manufaa ya ukuaji uchumi na fursa kwa nchi husikak, ambapo jumla ya Mataifa 40...
10 years ago
GPLMBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR
10 years ago
Michuzi13 Aug
Rais Kikwete, Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Diaspora jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6DJu-ZY1SsM/VBmNnKlpX_I/AAAAAAAGkF8/YyvwAB5Ha04/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Rais Wa awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi kuwa mgeni rasmi Mkutano wa 22 wa AQRB
Rais mstaafu wa Awamu ya pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 22 wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) utakaofanyika Septemba 18 2014.
Msajili wa Bodi ya AQRB Bwana Jehad Abdalah Jehad amesema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bwana Jehad alisema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kuendeleza wataaluma wa fani ya...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR ES SALAAM