Rangers Bureau de change yaipiga tafu Taswa FC
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbDEjKo0OeU/U3iwhreU7cI/AAAAAAAFjhk/dc4EH8VX-ZY/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi wa Rangers Bureau De Change na Rangers Tours and Travel Agent, Daudi Madega (kushoto) akikabidhi jezi kwa mwenyekiti wa Taswa FC, Majuto Omary katika hafla fupi iliyofanyika makao makuu ya kampuni hiyo, Magomeni.
Nahodha wa timu ya soka ya wandishi wa habari za michezo nchini, Mbozi Katala akizungumza mara baada ya makabidhiano hayo.
Duka la kubadilishia fedha za kigeni la Rangers Bureau De Change lililopo Magomeni Mapipa, limetoa msaada wa jezi kwa timu ya soka ya Waandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s72-c/unnamed+(48).jpg)
Benki ya Posta yaipiga tafu Taswa SC
![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWBIUksYAy4/U-IOPi0yG2I/AAAAAAAF9ik/V8tP2G0QEFc/s1600/unnamed+(50).jpg)
10 years ago
VijimamboNHIF YAIPIGA TAFU TIMBERLAND JOGGING YA YOMBO KILAKALA
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
GAPCO yaipiga tafu maendeleo ya michezo ya riadha nchini
Mkurugenzi mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu akimpongeza Simon Mlewa mshindi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia tricycle.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VPgkzE0-Uc/VQFjeFrxFTI/AAAAAAABdFE/2VADwxA73uc/s1600/Gapco3.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Moshi Novatus Makunga akimkabidhi zawadi Joseph Mungure mshidi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia wheelchair. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania Vijay Nair, Meneja Masoko Caroline Kakwezi na Mkurugenzi Mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu. Kulia ni Katibu Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-65gpiplSpT0/Vlh7OYaJMNI/AAAAAAAIIps/4nQTTK5_ews/s72-c/PICHA%2B1B.jpg)
Airtel Tanzania yaipiga ‘tafu’ Taswa SC
Akizungumza katika makabidhiano hayo jana, Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando alisema kuwa kampuni yao inatambua mchango wa waandishi wa habari za michezo nchini katika kuendeleza michezo na kuamua kutoa vifaa vya michezo ambazo ni seti mbili za jezi na mipira.
Mmbando alisema kuwa mbali ya kuwa wadau wakubwa wa michezo,...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
NSSF, Msama wapiga ‘tafu’ mkutano wa Taswa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro yaipiga jeki taswa katika tuzo za Wanamichezo Bora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mmw-kcctJ0c/Vfx4CXtHS3I/AAAAAAAH59Y/0-BDG4IVP1M/s400/download%2B%25282%2529.jpg)
Tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA zinatarajiwa kufanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo pia TASWA itatoa Tuzo ya Heshima kwa Rais Kikwete ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa sekta ya michezo katika uongozi...
10 years ago
Michuzi06 Dec
kampuni ya selcom wireless yaipiga jeki Chama cha waandishi wa habari za michezo nchini (taswa)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)